Hiyo ndo taarifa ya kikao kuhusu mauwaji?ama ni nusu ya taarifa?Asema baada ya mazungumzo na IGP wamekubali kusitisha mikutano yao ya M4C kwa muda wa siku 3, ili kupisha zoezi la sensa kukamilika kutokana na muda ulioongezwa,
Hiyo ndo taarifa ya kikao kuhusu mauwaji?ama ni nusu ya taarifa?
Asema baada ya mazungumzo na IGP wamekubali kusitisha mikutano yao ya M4C kwa muda wa siku 3, ili kupisha zoezi la sensa kukamilika kutokana na muda ulioongezwa,
Hawa Chadema nao mara nyingine kama wanajichanganya hivi. Mara maandamano yanaendelea mara yanasitishwa. Kuweni na msimamo nyie.
taarifa kuhusu mauaji amesema jeshi la polisi bado wanachunguza na wao kama Chama watatoa taarifa yao baada ya uchunguzi
Hawa Chadema nao mara nyingine kama wanajichanganya hivi. Mara maandamano yanaendelea mara yanasitishwa. Kuweni na msimamo nyie.
taarifa kuhusu mauaji amesema jeshi la polisi bado wanachunguza na wao kama Chama watatoa taarifa yao baada ya uchunguzi
Kwaiyo maisha ya jamaa yamepotea hivi hivi tu, alikua wapi kusubiri? Je anaona faida ya lolote na liwe? Kwakweli nimemzarau kabisa huyu mzee.