maneno ya mfamaji... Na mtakoma, kutetea khanga, kofia, tshirts, kwani manzese hupajui wkt bebabeba mia moja"Mtasema sana tena sana Chadema.
lakini pilipili yaliwa shamba nyie yawawashia nini?
maneno ya mfamaji... Na mtakoma, kutetea khanga, kofia, tshirts, kwani manzese hupajui wkt bebabeba mia moja"Mtasema sana tena sana Chadema.
lakini pilipili yaliwa shamba nyie yawawashia nini?
nilipofika pwani moja ya makabila niliyoambiwa sio makini lilikuwa la wakwere lakini busara yangu ilinifanya niwaheshimu sana wakwere na huku nikitaka kujua kama kweli wana matatizo kama wengine walivyodai.
Hii busara ninayo toka udogo siwezi mdharau mtu au siwezi nikashindwa kuwa na uhusiano na fulani eti tu kuna mmoja wa rafiki ama jamaa yangu anamchukia.
Rakini siku zimekwenda miaka 25 sasa nimegundua kuwa mkwere ngomani, mkwere segere, mkwere kumtoa mwali, mkwere mnuso, mkwere mnazi, mkwere na ngono, mkwere, mipasho, mkwere visasi, mkwere hushtuka hata kama ni jani limemgusa (hapa hata mabinti wakikwere wakiguswa mbavu huruka kwa ashki). Mkwere kamwe hakubali kosa zaidi ya kumsingizia mwingine hata kama kosa ni lake.
Nenda msata hutawaona hata kama wamefumaniwa husingizia kutongozwa au kutegwa.
Sina nia ya kuwadharau wakwere lakini leo mkwere akija na akijitambulisha ni mkwere mimi huongeza umakini maana hawa jamaa siwaamini na huwezi waamini wakwere katika mambo serious kama ya utawala wa nchi.
Wakwere wanafiki bwana walikuja wakajipanga kwenye foleni uwanja wa taifa eti tujue watu wa watu tukawa nao traventine kisha msondo watu wakaingizwa choo cha kike. Ni kosa kubwa kumwamini mkwere kwenye mambo ya msingi mkwere mpe kazi ya kuliendeleza segere au kuandaa ngoma ya kumtoa mwali.
Avatar yanguuu, imekukokosea niniiii? Na ID yangu imekusikitisha niniiii.....nijibu!
Mkuu samahani kama nitakukwaza ila let me be honest, avatar yako na jina vinanikwaza kupita maelezo. Ina maana hii nchi mnataka iongozwe na majuha mpaka lini? Tumechoka jamani tupeni mapumziko kidogo. Ngoja nitafute mwongozo kwenye hili then nitarudi.
Mama Salma naye anadai lipi?
Rz 1 atalia na kusaga meno JK atakapoondoka.
Hawa wanaomuunga mkono Rz 1 ni njaa tu zinawasumbua watamgeuka vibaya mtajionea.
Ushauri wa bure kwa Riz enzi hizi ni tofati na zamani si za kutegemea madaraka ya kurithi, wakati ule viongozi walikuwa wanakaa miaka 30 hadi 40 madarakani hivyo kujijengea mitandao yenye mizizi. Kama anataka kuishi kwa raha aachane na mambo ya siasa aendeleze biashara zake lakini kama anataka siasa namwambia kamwe hatafanikiwa, maana kama anategemea mtandao wa baba yake tunavyoona unazidi kusambaratika ni kama haupo tena.Mama Salma naye anadai lipi?
Rz 1 atalia na kusaga meno JK atakapoondoka.
Hawa wanaomuunga mkono Rz 1 ni njaa tu zinawasumbua watamgeuka vibaya mtajionea.
Mtasema sana tena sana Chadema.
lakini pilipili yaliwa shamba nyie yawawashia nini?
mkwere ye anachojua ni kuhudhuria misiba tu
ha ha ha ah ahaaaaaa mkuu hutaki kuongozwa na juha tena? ongeza mapambano
Aende shule aache disco.Ningekuwa mimi ningeenda shule kama husein Mwinyi, Miaka mitano inatosha. Kijana changamka mwambie baba.:hug:
TENDWA HELP CCM AND KIKWETE RETURN GADDAFI'S FUNDINGS TOO OR GO DOWN WITH HIMNimesoma gazeti la Jamboleo, likieleza kuwa UVCCM inakusudia kumng'oa mtoto wa mkwere kufuatia kuwa chanzo cha jumuiya hiyo kushindwa kufanikisha malengo yake. Kama Dot Connector inaonyesha familia hii ni ya walalamishi maana hata mkwere alilalama kuwa CDM inafanya maandamano ya kumng'oa na sasa mkwere mtoto anapiga mayowe hayo hayo. Tujadilini wakuu
Linamilikiwa na huyo huyo Rizwan likiwa chini ya mtu wake Pinto na wachangiaji wakubwa ni Salva Rweyemamu ambaye anaelezwa kuwa ndiye aliyetoa wazo la JK awe na gazeti kwa kuwa mengine ameshawakorofisha wamiliki wake hivyo wangewez akumjeruhi wakati wa kampeni 2010. Wanajamvi nadhani nimesaidia mnaweza hapo pia kuunganisha doti.
UMESEMA HABARI INASEMA rIZWANI ANALALAMIKA AU HIYO HABARI INASEMA KUWA KUNA MPANGO DHIDI YAKE? sASA CHA KUWALAUMU NINI IWAPO HAYO MAMBO YAPO KWELI? lALAMIKO LINAENDA NA JAMBO LISILO LA UKWELI.Nimesoma gazeti la Jamboleo, likieleza kuwa UVCCM inakusudia kumng'oa mtoto wa mkwere kufuatia kuwa chanzo cha jumuiya hiyo kushindwa kufanikisha malengo yake. Kama Dot Connector inaonyesha familia hii ni ya walalamishi maana hata mkwere alilalama kuwa CDM inafanya maandamano ya kumng'oa na sasa mkwere mtoto anapiga mayowe hayo hayo. Tujadilini wakuu