Wakuchakachua
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 346
- 9
nitafute mimi nimwaminifu natafuta mchumba:yield::yield::yield:horrra aaaaaa pole bro kwa kuvamia kichechecheee
ha ha ha ha unamkata mtoto asilambe sukari halafu na wewe unalamba neno PICHU YKO linatoka wapi???WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2
umenena vyemaKaka mimi mwanaume mwenzako nakushauri uamuzi uliokwisha ufanya wa kuachana naye please go on ingawaje utabakiwa na vidonda vikubwa moyoni. Huyo kwa ufupi ameshapoteza sifa ya kuwa mkewo. halafu usifikiri ameanza siku hiyo kufanya huo ufuska , ana uzoefu huyo na tayari keshampenda huyo mfanya kazi mwenzake. Mwambie aendelee na huyo jamaa . Hiyo mimba anataka kukushikiza usikubali endelea na msimamo wako hata kama home anakubalika kwani ni mke wao si wako bwana na atakaye umia ni wewe.
...Honestly, am heartbroken na simtaki na wala simpendi tena huyu dada. She still instists that am the father hadi anakwenda nyumban kwetu kuambia kua she is expecting my baby. Sijamwambia ndugu yangu yeyote about this saga.
Je niwambie ndugu zangu na marafiki zangu wa karibu full story juu ya huyu mdada? nyumban kwetu anakubalika sana. Ntashukuru sana kwa ushauri wenu
mmh pole
sasa ivi tu mapema just pete ashaanza kuipeleka nje...afta 5yrs hali itakuwaje?
uyo kunguru ndg yangu tena kunguru kilaza kashindwa ata kujipanga vyema ili usimfume..
achana nae ..vuta subira utampata mwngne
MUNGU KAKUONYESHEA UKWELI ...utakuwa mkaidi ukikataa ukweli ambao mungu ashakuonyeshea yatayokuja kutokea mbelen
---hana ujauzito uyo ni kashda tu katika kukufanya umwonee huruma baada ya kuona hauna dalili ya kumsamehe..
---waambie ndg na jamaa zako ukweli woote wasje wakaendelea kumwona mtakatifu kumbe ni kamiss devil tu
--ni pm nikwambie mengneyo kwa kirefu
pole sana ndg yangu
muombe mungu na nakuombea mungu akuasaidie katika kipnd iki kigumu...
pole
WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2
vipi ulishamega? au ulikuwa unasubiri uoe kwanza?
kama ulikuwa unamega cha kwanza ni kwenda angaza ujue status yako, kama uko shwari inabidi uvute punzi kubwa kabisa ya kutua mzigo
Kuhusu hiyo mimba si simple tu, jaribu kuangalia hiyo mimba ina muda gani na jaribu kuangalia kama kuna possibility ya wewe kuwa mwenye mimba,
Kuhusu mtoto, kama ulivyowaita ndugu zako na wake siku ya kumvalisha pete, inabidi uwaite tena wazazi wake na wako na uwape kitu cheupe, lakini pia kuwa safe side lazima uwaaambie kuwa mtoto akizaliwa DNA lazima ifanyike na baada ya hapo kama ni wako utamlea/au utatoa matumizi, lakini kama sio wako basi huyo mchumba wako akamtafute baba ya mtoto
mwisho kabisa na mimi nakupa pole kwa yaliyokukuta, hiyo kitu ombea isikukute shughuli yake ni pevu, anyway kitu kizuri kabisa ulichokifanya ni hiki cha kushare na watu, yaani hii ndio dawa ya broken hearts, nina uhakika utapata ushauri mzuri mno, kwa maana haya unayoyaongea sio mageni, yameshawatokea watu na wameyasovu vizuri tu na watakupa hizo njia walizotumia kusovu hii tatizo,
wala usiwe na hofu mkuu niPM tutaongea zaidi, lakini kwa faida ya wengine huyo binti hakufai
WE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2
angekuwa hajamega angeambiwa mimba ya kwake we vipi
Sio wanawake wot e Jamani,wapo wengi tumeumizwa hata midomo haiwezi kusema tenaPOLE SANA
1.WAELEZE NDUGU ZAKO KILA KITU NA TOA MSIMAMO WAKO.
2.MSIMAMO WAKO NDIO UTAKUFANYA UHESHIMIKE AU UDHARAULIKE MBELE YA NDUGUZO,HAWEZI KUWA TOFAUTI NA UAMUZI WAKO
3.NAJUA WAMPENDA SANA MCHUMBAWAKO NA SINA SHAKA NAE ANAKUPENDA......JE UKO TAYARI MUWE WAWILI? MCHANGIE MKE?
4.USITEGEMEE HATA BAADA YA KUMUOA WATAACHANA NA HUYO JAMAA. HAPO KAFIKA WEWE NI NAMBA 2
5.TATIZO NI KUWA HUYO JAMAA HAMPENDI ANGEMPENDA ANGEMUOA.
6.MIMBA YAWEZA KUWA YAKO AU SI YAKO...TULIZA KICHWA CHAKO.MTOTO HANA KOSA LOLOTE.
7. KOSA KUBWA SANA NA NI USHAMBA KUMPIGA MWANAMKE.......USIRUDIE TENA SIKU NYINGINE.
8.Aaaaaa,unasema i know this guy(mwizi wako) kwa hiyo ulimpindua jamaa?
9. Mkuu unakaa na mchumba miaka miwili halafu hujamshtukia tabia zake tu?
10.Siku nyingine, USIMFUATILIE MWANAMKE KIASI HICHO, waweza ukajakujiua,au kuua kwa utakayoyaona.
11.Swali zuri sana ulilomuuliza anaangalia chanel gani?.....baada ya kujua ukweli ungetuila na kuamua moja uendelee na mipango
ya kumuoa CHANGU au LA.
Ushauri/maoni.
wewe kama wewe huna ubavu wa kumuacha huyu bibie,na ndio maana ukakubali mazungumzo. nae anajua wazi huna ubavu wa kumuacha ndio maana kakueleza ukweli kuwa alikuwa anamegwa kwa raha zake. anakujua fika ulivyo........kuwa mwisho wa yote utasema basi sweet nimekusamehe usirudie...doooh??? NYIE WANAWAKE KWA NINI MNATUTENDA HIVI SISI WANAUME???????????
:smile-big: Kaka hapo umemaliza maana nilikuwa natafuta maneno yanayomfaa huyu mtu, but u have done it all, kenge kweli huyu jamaaWE MAKALIO UNATOA USHAURI MCHAFU NA WA HOVYO HOVYO APA TENA WA KIHINI..
IVI UJISHTUKII KUWA UPO PEKE YAKO????
NAZAN UTAKUA WW NI MUHUSIKA ULIEMEGWA AU NI MDOGO MTU>>>
Pichu yko........ dat y unawavulia wa2