CDM majidanganya sana ngojeni CCM imalize chaguzi zake mwezi wa tisa au kumi ndio mtajua kuwa CCM ni chama tawala nchi hii na kipenzi cha watanzania.Nafikiri mtaishia kusema aah wamewatoa kwa mabasi ngorongoro,Babati nk kama mlivyozoea kila CCM inapofanya mikutano yake. CCM ni chama tawala milele.
Tunajua CCM ni chama TWAWALA na kipenzi cha MAFISADI ndio maana maendeleo hakuna hivyo hatutashangaa kama wakiendeleza unyonyaji wakimaliza kuchagua mafisadi wazuri zaidi