Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Baada ya mwanadada nguli katika bongo flavour msanii Lady Jaydee kuwatolea uvivu radio ya watu (Clouds FM) kuwa hawapigi nyimbo zake mpaka wapewe rushwa sasa ameamua kuja na kituo chake cha redio.
Mwanadada huyo kafunguka kwenye ukurasa wake wa twitter kuwa "Kwanza FM coming soon. Yangu mwenyewee".
Naona Lady jaydee aliamua kuwa strategic kwa kukaa kimya wakati ananyonywa na clouds fm pamoja la Ruge. Baada ya kuweka mambo yake sawa (kufungua kituo chake cha radio), kaamua kuwachana live clouds fm.
Maoni yangu: Ajiadhali tu na fitna za Ruge, hii radio isije ishia kwenye makaratasi tu. Ruge kakamata entertainment industry hapa Tanzania, yeye ndio Don, anaamua nini au nani afanikiwe kisanaa au nani afie mbali.
Otherwise, congrats binti komando aka binti machozi
Mwanadada huyo kafunguka kwenye ukurasa wake wa twitter kuwa "Kwanza FM coming soon. Yangu mwenyewee".
Naona Lady jaydee aliamua kuwa strategic kwa kukaa kimya wakati ananyonywa na clouds fm pamoja la Ruge. Baada ya kuweka mambo yake sawa (kufungua kituo chake cha radio), kaamua kuwachana live clouds fm.
Maoni yangu: Ajiadhali tu na fitna za Ruge, hii radio isije ishia kwenye makaratasi tu. Ruge kakamata entertainment industry hapa Tanzania, yeye ndio Don, anaamua nini au nani afanikiwe kisanaa au nani afie mbali.
Otherwise, congrats binti komando aka binti machozi