RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Habari Zenu wakuu..
Naomba kwa Mtu au Doctr aliyeisoma au anayeijua Vizuri aniambie ipoje. Ni moja kati ya Programme niipendayo.
Sasa kama Yupo anaweza kuniambia Zaidi na Zaidi kuhusu Faculty hyo ambayo Ipo Muhimbili.
Na nyingine hii Hapa. B.Sc in biotechnology and laboratory sciences
Thanks
Naomba kwa Mtu au Doctr aliyeisoma au anayeijua Vizuri aniambie ipoje. Ni moja kati ya Programme niipendayo.
Sasa kama Yupo anaweza kuniambia Zaidi na Zaidi kuhusu Faculty hyo ambayo Ipo Muhimbili.
Na nyingine hii Hapa. B.Sc in biotechnology and laboratory sciences
Thanks