Jamani n new member pia first year at udom, but nahitaji kujua about my course ( commerce in international business)...........? Imeanza lini pia ipo wapi na wapi? Soko la ajira je?
dogo tulia, hujapotea ni mashavu ya kutosha, u'r n right choie, hiyo coz ip dom tu, me naingia 2rd yr hapohapo, xo cool mwaka huu ndo product ya kwanza inaenda mtaani, dogo hiyo coz asije akakudanganya mtu iko vizuri mno
dogo tulia, hujapotea ni mashavu ya kutosha, u'r n right choie, hiyo coz ip dom tu, me naingia 2rd yr hapohapo, xo cool mwaka huu ndo product ya kwanza inaenda mtaani, dogo hiyo coz asije akakudanganya mtu iko vizuri mno,POST YOUR NAME MKUBWA BY PROFESA
pia Ib ipo kampala Internationa university, ile ya gongolamboto ila ile co B.com ile ni bachelor degree in international business, xo cc tupo wide mno, masters yake inapatikana UDSM na IFM tu, ila ya IFM sio B.com ile ni MBA IN INTERNATIONAL BUSINESS yaani masters of Business Administration In Internaional Business, xo mpango mzima kwa wana wa Ib upo hivo, na kuhusu mashavu ya ajira ni yaku toushaaaaa, mnataka niweke baadhi ya caria au kazi zenu kama IB hapa kwenye thread?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.