B.a pr&m

unapata,espc marketing zipo ni juhudi zako kutafuta na kuapply as many posts as utakaziziona au kuskia,hakuna kitu kisichokua na faida au kazi its just juhudi tu ktk kutafuta na kukubali kuanzia chini then upande taratibu mpk ufikie malengo ila kama unatka jus afta graduating uwe meneja pr n marketing hapo ndoitakua yaleyale...uskate tamaa,fight and be proud of ur professional utaona itakavyokulipa...
 
unapata,espc marketing zipo ni juhudi zako kutafuta na kuapply as many posts as utakaziziona au kuskia,hakuna kitu kisichokua na faida au kazi its just juhudi tu ktk kutafuta na kukubali kuanzia chini then upande taratibu mpk ufikie malengo ila kama unatka jus afta graduating uwe meneja pr n marketing hapo ndoitakua yaleyale...uskate tamaa,fight and be proud of ur professional utaona itakavyokulipa...

atakua na kuyaona, sio maghorofa..
 
Hivi nikimaliza bachelor yangu ya public relations & marketing naweza pata kazi? Au ndo yaleyale?
Makampuni ni mengi hasa haya yakuuza vyombo mtaani utapata!!Tool ni kibegi chako kama cha kuifadhia laptop!!Tool no 1 then unaonyeshwa godwn ukachague tool no2 vyombo vyakuuza sasa hapo wewe utaangalia wepesi kama dawa za meno miswaki sabuni shampoo etc,Kazi ni kwako kijana soma sana!
 
Back
Top Bottom