Baada ya kuoana watu wanazoeana na kufahamiana kwa undani zaidi...
Kama before mtu alikua anapretend hawezi kuendelea kupretend forever lazima tabia za asili zitajitokeza na hapo kila mmoja anahisi alifanya wrong choice...
Mi naogopa sana ndoa jamani..ngoja nizeeke zeeke kwanza lol!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.