BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
sidhani kama hii peke yake inatosha kuwa sababu; maana tukifuata yanayofanywa na nchi nyingine "zinazokwenda na wakati" tunaweza kufuata mambo mengi kweli. Kuna mambo ambayo sisi wenyewe ni lazima tuyafikiri na kuyaamua kwa nia yetu sisi wenyewe.
Lakini kwenye suala la UN2 hatuwezi tu kutoka na kusema every one go!! hakuna sehemu duniani ambao wamefanya hivyo, kila watu wana utaratibu wao na sababu zao. Sisi wa kwetu uweje? hilo ndilo swali au hutaki hata tufikirie tufanye vipi turuhusu tu alimradi tumeruhusu bila kufikilia masuala mbalimbali?
Naam hatuwezi kabisa kufuata kila jambo linalofanywa na nchi nyingine hapa duniani, lakini yale ambayo yana faida kwa nchi kama hili la uDC halina ubaya wowote na sijasikia nchi yoyote ili iwe Afrika, Asia, America na kwingineko ambayo inalalamika kwamba uDC umekuwa na negative impact kwenye nchi hiyo na hivyo kuamua kuachana nao.