Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Tatizo la kutokuwa na sifa haliko kwa hao wascandnavia,tatizo liko kwetu,na unaweza kuona wasacandnavia bado wanatufundisha namna ya kufuata sheria zetu sisi wenyewe.
Unless serikali iwe either imefanya utumbo kwa kutokuwa makini,ama 'Ilidhani" kuwa imesha pitisha sheria ya uraia wa nchi mbili.
Sijakupata mkuu.nieleweshe tena tafadhali.