Azimio la Tabora na uamuzi wa busara

Ilikuwa 1958 wakati Tanganyika ikielekea katika uchaguzi unaojulikana kihistoria kama uchaguzi wa kura tatu, yalihitajika maamuzi ambayo yalikuja kubadilisha kabisa mkondo wa historia yetu. Uchaguzi huu ulionekana wa kibaguzi kwani ilitakiwa kila mpiga kura apige kura tatu, TANU haikutaka kushiriki uchaguzi huo lakini sasa, ingeingia vp katika LEGCO? Ilibidi harakati zianzie Tanga kushawishi wajumbe, mkutano wa Tabora ndiyo uliopitisha azimio la TANU kushiriki uchaguzi huo wa kura tatu, azimio hilo hujulikana Kama uamuzi wa busara, pale Tabora Sokoni Kuna mnara wa kumbukumbu ya uamuzi huo. Ni uamuzi uliokuja kukigawa Chama maana walioona ukakasi ukakasi wa uamuzi huo akiwemo mzee Zuberi Mtemvu walijitoa kwenye Chama na kuunda Chama pinzani cha Congress.
 
Ni kutokana na uamuzi huo Chama kikatafuta watu wenye vigezo ambavyo kwakweli viliwabagua wazee waasisi wa Chama, wasomi ndyo walikuwa na nafasi hiyo, waasisi wazee wa kiislamu hwakuwa wamepita shule za mission hapo ndo wasomi wa makerere wakristo walipopewa nafasi ya kugombea ujumbe wa LEGCO ambayo TANU ilishinda karibia viti vote.
 
Hapo ndio mwanzo wa kuwabagua wazee wa Kiislamu ulipoanzia, pale jamaa alipoenda Tanga kuomba support ya kura tatu,
 
Nilipofika Tabora mwaka jana nilipiga picha katika mnara huuu lakni mpiga picha wangu aliipoteza
 
Shusheni nondo jamani, historia yetu ingekuwaje leo bila tukio hili?
Bali...
Ngoja niingie maktaba nitakuja kutoa darsa.

Azimio la Tabora lingevunja TANU vipande vipande kama si mkakati wa Tanga baina ya
Nyerere, Mwalimu Kihere na Sheikh Rashid Sembe.

Natalii mabuku nitarejea In Shaallah.

uJBRPrrMmr_i-HWJXaLfVNwd7Y2qy6F_013sT3W7AV6hVIr8koFE7W_EQtD8Fe3UWyxa0iRdUpOvpjkoniaWcHHzMDVXW99qTSz4KaqKEBypR1LI5OATLdoA4cV350fnXl3dTQCUlx9ILz-XetaY6_OHEBW35SDOvQp0saFhCREiHNPzmKGzC2JURWoYpyfCfCjEv39PSLmp2qpPh6UZNG9b0yIZ0W4J0qe3jmzL_lo-2NqclIXHXh3a9zaO8BG4OvVW5K8LJKW7WUhQb7rCsWhEWvuHo6acIvdSYH_YCJW5G77dO3mXOq6C_EJBmh-bjdTSCNSol4HCkYFemtJdrXy_yrtBhssc1bqqminm8vpP3P_4UMcw_SLtlSuugHAKpSQ7mNM5xLqNZ71U1dnBav1Uh9aAr9juUfncM4tZZ2OavUxDOp3s4C2JLudz1kRTR4LQT0j9O7FXG1qFFSCg9qKMAhX605xBWzZEnlbMImbGwC7g3cbdowU9Xb5o8a0YJiTzsX9Bdsy2QM1mS4ufGaNYMPBFaAbxQQxbvOzDTk76prbwL2ssHwdbsDMUMkGaBnKalCtkLZesLwFqOLmBF8AwilQg3A4M=w439-h657-no
 
Asante Kwa historia nzuri
Tewe,
Historia hii nzuri na mashujaa wake walioiwezesha TANU kuruka kizingiti
kile kigumu yeye Nyerere Mwalimu hakupata kuieleza popote.

Historia hii kama si kitabu cha Abdul Sykes ingelipotea na isingejulikana:

''Kufichuka kwa msimamo wa Mwalimu Nyerere wa kutaka TANU iingie katika Kura Tatu kulishtua uongozi wa Tanga. Majadiliano makali yalifuata uongozi wa Tanga ukionyesha upinzani wao kwa msimamo wa Mwalimu Nyerere. Baada ya majadiliano ya muda mrefu Mwalimu Nyerere alifanikiwa kuwashawishi wote wawili Hamisi Heri na Mwalimu Kihere ambao ndiyo walikuwa wapinzani wakubwa wa msimamo wa Mwalimu Nyerere na uchaguzi wa Kura Tatu. Mwalimu Nyerere aliutahadharisha uongozi wa Tanga kuwa agenda ya Kura Tatu itakapokuja anatabiri kupata upinzani mkali kutoka katika majimbo. Huko Tanga kwenyewe, TANU ilikuwa ikikabiliwa na upinzani mkali kutoka UTP iliyokuwa na nguvu Tanga kwa sababu ya walowezi waliokuwa wakimiliki mashamba ya mkonge katika jimbo hilo. Kwa ajili hii akina Rashid Sembe walikuwa wameelemewa na mashambulizi kutoka kwa wapinzani.

Maili tatu kutoka Tanga kipo kijiji cha Mnyanjani ambako kulikuwako na tawi la TANU lillilokuwa na nguvu sana likiongozwa na Mmaka Omar kama mwenyekiti na Akida Boramimi bin Dai akiwa katibu. Hawa wote ni marehemu na mchango wao hadi leo haujathaminiwa. Mwalimu Nyerere na Kissenge walichukuliwa hadi Mnyanjani ili ifanyike tawaswil. Waliohudhuria kisomo hicho walikuwa Abdallah Rashid Sembe, Sheikh Dhikr bin Said, Mzee Zonga, Hemed Anzwan, Salehe Kibwana aliyekuwa mshairi maarufu, Akida Boramimimi bin Dai na Mmaka Omari. Aliyechaguliwa kusoma Qur'an Tukufu alikuwa mjomba wa Mwalimu Kihere, Sheikh Ali Kombora.''
 
Tewe,
Historia hii nzuri na mashujaa wake walioiwezesha TANU kuruka kizingiti
kile kigumu yeye Nyerere Mwalimu hakupata kuieleza popote.

Historia hii kama si kitabu cha Abdul Sykes ingelipotea na isingejulikana:

''Kufichuka kwa msimamo wa Mwalimu Nyerere wa kutaka TANU iingie katika Kura Tatu kulishtua uongozi wa Tanga. Majadiliano makali yalifuata uongozi wa Tanga ukionyesha upinzani wao kwa msimamo wa Mwalimu Nyerere. Baada ya majadiliano ya muda mrefu Mwalimu Nyerere alifanikiwa kuwashawishi wote wawili Hamisi Heri na Mwalimu Kihere ambao ndiyo walikuwa wapinzani wakubwa wa msimamo wa Mwalimu Nyerere na uchaguzi wa Kura Tatu. Mwalimu Nyerere aliutahadharisha uongozi wa Tanga kuwa agenda ya Kura Tatu itakapokuja anatabiri kupata upinzani mkali kutoka katika majimbo. Huko Tanga kwenyewe, TANU ilikuwa ikikabiliwa na upinzani mkali kutoka UTP iliyokuwa na nguvu Tanga kwa sababu ya walowezi waliokuwa wakimiliki mashamba ya mkonge katika jimbo hilo. Kwa ajili hii akina Rashid Sembe walikuwa wameelemewa na mashambulizi kutoka kwa wapinzani.

Maili tatu kutoka Tanga kipo kijiji cha Mnyanjani ambako kulikuwako na tawi la TANU lillilokuwa na nguvu sana likiongozwa na Mmaka Omar kama mwenyekiti na Akida Boramimi bin Dai akiwa katibu. Hawa wote ni marehemu na mchango wao hadi leo haujathaminiwa. Mwalimu Nyerere na Kissenge walichukuliwa hadi Mnyanjani ili ifanyike tawaswil. Waliohudhuria kisomo hicho walikuwa Abdallah Rashid Sembe, Sheikh Dhikr bin Said, Mzee Zonga, Hemed Anzwan, Salehe Kibwana aliyekuwa mshairi maarufu, Akida Boramimimi bin Dai na Mmaka Omari. Aliyechaguliwa kusoma Qur'an Tukufu alikuwa mjomba wa Mwalimu Kihere, Sheikh Ali Kombora.''
Shekhe Said huwa nafarijika sana na rejea zako. Je umeshapata kusoma azimio la Tabora lililohuishwa na ACT wazalend? Ningelifurahi kusikia maoni yako juu ya hilo.
 
Shekhe Said huwa nafarijika sana na rejea zako. Je umeshapata kusoma azimio la Tabora lililohuishwa na ACT wazalend? Ningelifurahi kusikia maoni yako juu ya hilo.
Mcubic,
Azimio la Zitto nalifahamu.
Hata hivyo mimi nimejikita katika historia zaidi kuliko mambo ya leo.

Wa4_qGS1A-ZM8LtQYl86AGPerBLBssOf4eDig91M3X1nnd4_fylkZFasR_xoK-iOrKSousg8geiWrPkVAKA4rXtYFPIcj8lULqr5GcasB-nx8V_Qw6T5X-yGI8IId711bC4XcnnByDv_VwIrKg38Yh_w1zBqqeClHs0DR6DQ23jzt9lp-Qyzhc4rE1v1ziJjVero7tg3G5jcab5fKRXXuTA4VySyQMELVWxBP93ToVkuC70BgBTzFgycEPoQnDO6ddBIB6cBtnAewSRjYsWgVvekvMaUXoTsYO80PpZ7ZPe6Ghcv5ulIQWSBei0YQO2vVMjdO5NvB6NJE_KDm971u_nUZCgExKxGTUZOmsLwBsegOdOqsCqfrUWBCcnWUWSQ-5zStTDvZ8QiizxyYFCwOosBTG5uvcV_m-xtZ2XhWNPNQUIJNA1B5MAxkQ_0x1dYtJRHIhO5FZCRVMd1BlDA9Am9Wa71A7ZN33kMAevbaPKU0QWZ4TCTGQ69GL9eO-qABkU7KeD8m-drWiSJn_POaHmLlFyCbk-6XaDoV_kORrlyYI7UN1aHF6PaX1j9EqiktX143kQguAzEN210K6RNqNuM9IMmCQaC=w876-h657-no
 
Tewe,
Historia hii nzuri na mashujaa wake walioiwezesha TANU kuruka kizingiti
kile kigumu yeye Nyerere Mwalimu hakupata kuieleza popote.

Historia hii kama si kitabu cha Abdul Sykes ingelipotea na isingejulikana:

''Kufichuka kwa msimamo wa Mwalimu Nyerere wa kutaka TANU iingie katika Kura Tatu kulishtua uongozi wa Tanga. Majadiliano makali yalifuata uongozi wa Tanga ukionyesha upinzani wao kwa msimamo wa Mwalimu Nyerere. Baada ya majadiliano ya muda mrefu Mwalimu Nyerere alifanikiwa kuwashawishi wote wawili Hamisi Heri na Mwalimu Kihere ambao ndiyo walikuwa wapinzani wakubwa wa msimamo wa Mwalimu Nyerere na uchaguzi wa Kura Tatu. Mwalimu Nyerere aliutahadharisha uongozi wa Tanga kuwa agenda ya Kura Tatu itakapokuja anatabiri kupata upinzani mkali kutoka katika majimbo. Huko Tanga kwenyewe, TANU ilikuwa ikikabiliwa na upinzani mkali kutoka UTP iliyokuwa na nguvu Tanga kwa sababu ya walowezi waliokuwa wakimiliki mashamba ya mkonge katika jimbo hilo. Kwa ajili hii akina Rashid Sembe walikuwa wameelemewa na mashambulizi kutoka kwa wapinzani.

Maili tatu kutoka Tanga kipo kijiji cha Mnyanjani ambako kulikuwako na tawi la TANU lillilokuwa na nguvu sana likiongozwa na Mmaka Omar kama mwenyekiti na Akida Boramimi bin Dai akiwa katibu. Hawa wote ni marehemu na mchango wao hadi leo haujathaminiwa. Mwalimu Nyerere na Kissenge walichukuliwa hadi Mnyanjani ili ifanyike tawaswil. Waliohudhuria kisomo hicho walikuwa Abdallah Rashid Sembe, Sheikh Dhikr bin Said, Mzee Zonga, Hemed Anzwan, Salehe Kibwana aliyekuwa mshairi maarufu, Akida Boramimimi bin Dai na Mmaka Omari. Aliyechaguliwa kusoma Qur'an Tukufu alikuwa mjomba wa Mwalimu Kihere, Sheikh Ali Kombora.''
Hakika historia nzuri ilifichika. Naomba unisaidie zaidi undani/maana ya kura tatu
 
Ni kutokana na uamuzi huo Chama kikatafuta watu wenye vigezo ambavyo kwakweli viliwabagua wazee waasisi wa Chama, wasomi ndyo walikuwa na nafasi hiyo, waasisi wazee wa kiislamu hwakuwa wamepita shule za mission hapo ndo wasomi wa makerere wakristo walipopewa nafasi ya kugombea ujumbe wa LEGCO ambayo TANU ilishinda karibia viti vote.
Suala si kwamba hawakupitia shule za mission bali hawakuwa wamesoma. Ni vizuri kuweka hiztoria sahihi. Mfano mimi Babu yangu ) mzaa mama ) ndio walikuwa wanaharakati wa kudai uhuru bahati mbaya hakuwa amesoma sana ( alisoma hizohizo shule za mission bali si kwa kiwango kikubwa), hakuweza kupewa madaraka makubwa kwa sababu elimu yake ilikuwa ndogo. Hata hivyo alikuwa akiheshimika kama muasisi wa kudai uhuru wa nchi hii. Na utambue kuwa wazee hawa walichofurahia ni kupata uhuru na walikuwa wanapewa hadhi kutokana na role yao waliyoifanya. On the other side babu yangu ( mjomba wake mama yangu) yeye alikiwa muasisi wa kupigania uhuru alipata wadhifa katika srekali kwani alikuwa msomi na alikuwa vna vigezo vya kuwaza kuongoza, hivyo ni vyema kuweka historia sahihi.
 
Suala si kwamba hawakupitia shule za mission bali hawakuwa wamesoma. Ni vizuri kuweka hiztoria sahihi. Mfano mimi Babu yangu ) mzaa mama ) ndio walikuwa wanaharakati wa kudai uhuru bahati mbaya hakuwa amesoma sana ( alisoma hizohizo shule za mission bali si kwa kiwango kikubwa), hakuweza kupewa madaraka makubwa kwa sababu elimu yake ilikuwa ndogo. Hata hivyo alikuwa akiheshimika kama muasisi wa kudai uhuru wa nchi hii. Na utambue kuwa wazee hawa walichofurahia ni kupata uhuru na walikuwa wanapewa hadhi kutokana na role yao waliyoifanya. On the other side babu yangu ( mjomba wake mama yangu) yeye alikiwa muasisi wa kupigania uhuru alipata wadhifa katika srekali kwani alikuwa msomi na alikuwa vna vigezo vya kuwaza kuongoza, hivyo ni vyema kuweka historia sahihi.
Ninachoweza kusema mkuu Mwana ni kwamba kiongozi siyo lazima awe amesoma elimu ya kizungu bali kiongozi lazima awe na kipaji cha uongozi tuu,inatosha.Tunachokiona hapa mkoloni alihitaji uongozi uende kwa tabaka la vibaraka wake aliodhanivni wasomi wa shule za mission kwa minajiri ya kuwatumia baadae kupitia ukoloni mambo leo.unaweza vipi kusema mashehe na maimamu hawakuwa wamesoma? Leo hii mbona viongoz wengi tuu ni darasa la saba na chini ya hapo? Katika uchaguzi huo wa kura tatu1958,mkoloni alishaanza kujenga mfumo mpya wa unyonyaji na ukandamizaji ndiyo maana akaweka vigezo baguzi na kandamizi.
 
Hivi maalim Mohamed Said,kwa ishma zote nauliza Rajab Diwan niliyemsoma kwenye kitabu chako ndiye baba mzazi wa marehemu Ditopile Mzuzuri? Halàfu ukiachana na wasanii akina Nasibu,kule Bukoba washiriki wa mapambano ya uhuru ni akina nani?je majina ya,Edward Barongo,Kichwabuta,kalyambabi,kagasheki,Zimbihile,Kalinjuma,nk ni sehemu ya mashujaa wa Bukoba?
 
Back
Top Bottom