Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,142
- 13,216
Wapenzi wa soka,
Inasemekana Azam inaandaliwa kuwa Zbr Heroes ndio maana Wazanzi-bara wengi wanakatwa na kuwekwa Wazanzibari, kadhalika kikosi cha kwanza Azam kimesheheni mastaa toka Zbr heroes.....hii inatokana na ukweli kwamba mosi mmiliki wake ni ..........na pili ukweli kwamba znb heroes inashiriki kombe la kisiasa la challenge ambalo ni mara moja tu kwa mwaka hivyo kuhitaji kuifanya timu hii iwe na kambi ya kudumu mahali fulani amabpo pameteuliwa kuwa ni AZAM FC!!
Changieni
Inasemekana Azam inaandaliwa kuwa Zbr Heroes ndio maana Wazanzi-bara wengi wanakatwa na kuwekwa Wazanzibari, kadhalika kikosi cha kwanza Azam kimesheheni mastaa toka Zbr heroes.....hii inatokana na ukweli kwamba mosi mmiliki wake ni ..........na pili ukweli kwamba znb heroes inashiriki kombe la kisiasa la challenge ambalo ni mara moja tu kwa mwaka hivyo kuhitaji kuifanya timu hii iwe na kambi ya kudumu mahali fulani amabpo pameteuliwa kuwa ni AZAM FC!!
Changieni