Azam TV - hatujagawa tajiri na masikini, kuanza rasmi november 2013

Kuna watu wanachanganya kutoa msaada na kujitangaza.
Kuna watu wanatoa zaidi ya mengi na hawajitangazi na dini ndio inataka hivyo unatoa mkono wa kulia hata wa kushoto haujui.

Naona sasa Mh wenu wa itv ana bifu binafsi na muhongo baada ya muhongo kuhalalisha ukatwaji wa umeme hadi kwenye ukanda wa viwanda vyake.

Mbona ukanda mwingine wa viwanda wanakata umeme.
Kuna mawaziri wanaofanya vibaya kuliko muhongo lakini yeye kamng'ang'ania huyo kutokana na hilo kama enzi zile za masilingi.
 
Kama tarehe husika wameshindwa kufikia malengo je huduma c itakua ya(magumashi) ukweli jamani?.
they want to be honest....wangekurupuka na kuwauzia ving'amuzi kabla mambo mengine hayajakaa sawa, ingekuwa disaster na malalamiko kwa wateja! BIla shaka walikusudia waanze hiyo november lakini obvious wakutana na technical difficulties... in short, hawataki kuwa kama star times.
 
yale yaleee dawa zukia mult choice kwisha kazi

Ndugu yangu, kinachowapa ujiko MultiChoice ni English Premier League (EPL). Siku wakipoteza hiyo, watakosa soko kabisa. Kumbuka wakati wa GTV, soko lao liliporomoka sana tu. AZam ataweza kutuletea EPL?
 
Ndugu yangu, kinachowapa ujiko MultiChoice ni English Premier League (EPL). Siku wakipoteza hiyo, watakosa soko kabisa. Kumbuka wakati wa GTV, soko lao liliporomoka sana tu. AZam ataweza kutuletea EPL?

basi kuna uwezekano mkubwa kua GTV ilihujumiwa baada ya kuonesha inaharibu maslahi ya watu fudenge fudenge :evil:
 
Back
Top Bottom