Azam Orange Juice

MAMA POROJO

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
4,974
785
Nimenunua juice ya machungwa ya Azam leo jioni maeneo ya Tegeta, nimefika nyumbani ilipofunguliwa ndani nimekuta juice ya ajabu. Inaelekea huyu jamaa wa Tegeta anakusanya maboxi yaliyotumika ya azam na kukamua machungwa na kufunga, juu ya boxi inaonyesha tarehe ya kufunga ilikuwa ni 10/12/2011 na tarehe ya mwisho kutumika ni tarehe 10/12/2012.

Nimejifunza uangalifu wa hali ya juu unahitajika ninaponunua vyakula, juice na maji.
 
mkuu ungeipeleka kwenye ofisi zao ili wakupe maelezo mazuri kwanini haieleweki juisi yao..
 
Pole sana kwa yaliyokupata. Siku hizi, kadri hali za maisha zinavyokuwa ngumu, ndivyo watu wasio waaminifu wanavyozidi kugundua mbinu za utapeli. Hata maji ya kunywa yanachakachuliwa. Inabidi kuomba Mungu sana, pia tuwe makini tunaponunua bidhaa za chakula. Halafu bora ukawapelekea watu wa kiwanda cha Azam, wakajionea. Shukuru Mungu kama haikukuathiri. Huenda juice ni safi kabisa, tatizo ni jina. Ameona atumie mabox ya Azam ili viuzike.
 
One thing, sinunui wala sili anything outside my house, simple. Hata maji natembea nayo
 
Kumbuka, tunaishi katika siku za mwisho mwisho wa mfumo wa maisha tulionao 2Timotheo3:1-5. Ukiweza kuzitambua nyakati hizi, utakuwa na amani. Hutajiuliza sana maswali mengi, kwa kuwa utakuwa unaelewa nini kinachoendelea.

Ishara nyingi ambazo Yesu kristo alizitabiri kuwa zitatokea katika siku za mwisho, tumezishuhudia. Kibaya ni kuwa, wengi wetu tumezaliwa NDANI ya hizi siku za mwisho, ambazo kulingana na unabii wa Biblia, zilianza rasmi mwaka 1914.

Hivyo, kwa wengi inakuwa vigumu kuzitofautisha siku. Wanaona ni kawaida tu. Lakini kwa anayependa kuchunguza unabii, nyakati hizi ni tofauti saaanaaaaaa na nyakati za kabla ya 1914. Zinatimiza unabii kweli kweli.

Pia, unaweza kuona kuwa ni muda mrefu sana umesikia juu ya siku za mwisho. Kwa sbb, kwa ukuu wa Mungu, miaka 1,000 ni sawa na siku moja tu kwake. Jipime, katika miaka 1,ooo umeishi masaa mangapi kwa maoni ya Mungu??? Hata siku moja hujamaliza, wala mimi sijaimaliza.
Tafakari.
 
Kumbuka, tunaishi katika siku za mwisho mwisho wa mfumo wa maisha tulionao 2Timotheo3:1-5. Ukiweza kuzitambua nyakati hizi, utakuwa na amani. Hutajiuliza sana maswali mengi, kwa kuwa utakuwa unaelewa nini kinachoendelea. Ishara nyingi ambazo Yesu kristo alizitabiri kuwa zitatokea katika siku za mwisho, tumezishuhudia. Kibaya ni kuwa, wengi wetu tumezaliwa NDANI ya hizi siku za mwisho, ambazo kulingana na unabii wa Biblia, zilianza rasmi mwaka 1914. Hivyo, kwa wengi inakuwa vigumu kuzitofautisha siku. Wanaona ni kawaida tu. Lakini kwa anayependa kuchunguza unabii, nyakati hizi ni tofauti saaanaaaaaa na nyakati za kabla ya 1914. Zinatimiza unabii kweli kweli.
Pia, unaweza kuona kuwa ni muda mrefu sana umesikia juu ya siku za mwisho. Kwa sbb, kwa ukuu wa Mungu, miaka 1,000 ni sawa na siku moja tu kwake. Jipime, katika miaka 1,ooo umeishi masaa mangapi kwa maoni ya Mungu??? Hata siku moja hujamaliza, wala mimi sijaimaliza.
Tafakari.

wasabato watia timu JF. karibu William Miller
 
Kumbuka, tunaishi katika siku za mwisho mwisho wa mfumo wa maisha tulionao 2Timotheo3:1-5. Ukiweza kuzitambua nyakati hizi, utakuwa na amani. Hutajiuliza sana maswali mengi, kwa kuwa utakuwa unaelewa nini kinachoendelea.

Ishara nyingi ambazo Yesu kristo alizitabiri kuwa zitatokea katika siku za mwisho, tumezishuhudia. Kibaya ni kuwa, wengi wetu tumezaliwa NDANI ya hizi siku za mwisho, ambazo kulingana na unabii wa Biblia, zilianza rasmi mwaka 1914.

Hivyo, kwa wengi inakuwa vigumu kuzitofautisha siku. Wanaona ni kawaida tu. Lakini kwa anayependa kuchunguza unabii, nyakati hizi ni tofauti saaanaaaaaa na nyakati za kabla ya 1914. Zinatimiza unabii kweli kweli.

Pia, unaweza kuona kuwa ni muda mrefu sana umesikia juu ya siku za mwisho. Kwa sbb, kwa ukuu wa Mungu, miaka 1,000 ni sawa na siku moja tu kwake. Jipime, katika miaka 1,ooo umeishi masaa mangapi kwa maoni ya Mungu??? Hata siku moja hujamaliza, wala mimi sijaimaliza.
Tafakari.

Hadithi zako zinahusiana vipi na topic ya mdau hapo juu?
 
Nimenunua juice ya machungwa ya Azam leo jioni maeneo ya Tegeta, nimefika nyumbani ilipofunguliwa ndani nimekuta juice ya ajabu. Inaelekea huyu jamaa wa Tegeta anakusanya maboxi yaliyotumika ya azam na kukamua machungwa na kufunga, juu ya boxi inaonyesha tarehe ya kufunga ilikuwa ni 10/12/2011 na tarehe ya mwisho kutumika ni tarehe 10/12/2012.

Nimejifunza uangalifu wa hali ya juu unahitajika ninaponunua vyakula, juice na maji.

You need to be very carefully especially kwenye vitu vya kula/kunywa. Ni vizuri ununue kwenye maduka yanayoeleweka na sio kwa wapita njia ambao hawana anwani na wanaweza kukuuzi uchafu wowote kwani kwao wanachotaka ni pesa tu. ushauri wa bure tuache kununua vitu vinavyotembezwa na wamachinga
 
Back
Top Bottom