Wakuu,
Kuna biashara nilifanya na AZAM lakini naona wameshindwa kutoa huduma niliyonunua na badala yake nazungushwa tu.
Nataka kuongea na Bakhresa mwenyewe au mtu mwingine mwenye mamlaka na hiyo kampuni.
Kama una namba ya wahusika tafadhali nitumie kwenye PM yangu.
Sipo nyumbani kwasasa kwahiyo siwezi kwenda kupanga foleni ofisini kwao. Nimejaribu kuwatumia watu wengine na imeshindikana.
Kama una nanba za wahusika tafadhali saidia. nataka niongee nao mwenyewe na kujua kulikoni kabla ya kuchukua uamuzi mwingine.
Kuna biashara nilifanya na AZAM lakini naona wameshindwa kutoa huduma niliyonunua na badala yake nazungushwa tu.
Nataka kuongea na Bakhresa mwenyewe au mtu mwingine mwenye mamlaka na hiyo kampuni.
Kama una namba ya wahusika tafadhali nitumie kwenye PM yangu.
Sipo nyumbani kwasasa kwahiyo siwezi kwenda kupanga foleni ofisini kwao. Nimejaribu kuwatumia watu wengine na imeshindikana.
Kama una nanba za wahusika tafadhali saidia. nataka niongee nao mwenyewe na kujua kulikoni kabla ya kuchukua uamuzi mwingine.