Azam FC Washusha Basi Jipya-Kiu- laya Ulaya

unajichanganya sana kwenye michango yako

Mie sijichanganyi ila wewe ndiye hunielewi, umezoea kukati na kupesti kazi za watu bila acknowledgement, hiyo inadumaza sana uwezo wa kufikiri. Bin Zubeiry atakuburuza mahakamani muda wowote kwa kutumia blogi yake kwa njia ya plagiarism.
 
Mie sijichanganyi ila wewe ndiye hunielewi, umezoea kukati na kupesti kazi za watu bila acknowledgement, hiyo inadumaza sana uwezo wa kufikiri. Bin Zubeiry atakuburuza mahakamani muda wowote kwa kutumia blogi yake kwa njia ya plagiarism.

soma hapa chini
 
huyu bahkresa shauri zake, hajajifunza wakati ule aliposhabikia CUF kilimtokea nini:A S wink:
Mbona Alifaidika ndio kiini haswa cha Kiwanda pale Tazara NMC Akazawadiwa... hata mimi nisingekoma...
 
basi zuri timu mbooooovu!!! Azam sio timu ya kupambana kuzifunga mambo, ndanda ...timu ya kawaida sana pamoja na uwekezaji mkubwa
 
basi zuri timu mbooooovu!!! Azam sio timu ya kupambana kuzifunga mambo, ndanda ...timu ya kawaida sana pamoja na uwekezaji mkubwa
 
Monday, December 30, 2013

HILI BASI JIPYA LA AZAM NI KIBOKO...KILA KITI KINA TV, CHOO NDANI, FRIJI.




Hakuna Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi. Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki.
Kitu cha maana
3.jpg
Kila siti ina TV
Kuna friji









Posted by aman ngoma at 10:58 AM









timu za afrika zinajivunia makombe nyiemnajivunia bus
 
Njoeni kesho na ilo basi lenu kwa wazee wa kimataifa wanawasubiri pale Taifa mpigwe nyingi
 
Back
Top Bottom