mahakama ya kazi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 1,520
- 240
ndio mambo yanayotakiwa hayo
unajichanganya sana kwenye michango yako
Mie sijichanganyi ila wewe ndiye hunielewi, umezoea kukati na kupesti kazi za watu bila acknowledgement, hiyo inadumaza sana uwezo wa kufikiri. Bin Zubeiry atakuburuza mahakamani muda wowote kwa kutumia blogi yake kwa njia ya plagiarism.
Mbona lina rangi za CHADEMA!
inaonekana jamaa alizidiwaBig up sana azam fc
sahihiunaanzisha ubishi mara la kichina, sijui la kihindi.............hakuna maana yoyote, wameanza kuonesha njia wengine wafuate
Kudadeki Bakhressa! Duh
bado liko barabaraniHiger ni mabasi ya Kichina. Ngoja tuone kama bado litakuwa barabarani baada ya miaka miwili.
Mbona Alifaidika ndio kiini haswa cha Kiwanda pale Tazara NMC Akazawadiwa... hata mimi nisingekoma...huyu bahkresa shauri zake, hajajifunza wakati ule aliposhabikia CUF kilimtokea nini:A S wink:
Mkuu, basi kama hilo ni full kipupwe hivyo hayo madilisha ni kama kuonea tu nje.
timu za afrika zinajivunia makombe nyiemnajivunia busMonday, December 30, 2013
HILI BASI JIPYA LA AZAM NI KIBOKO...KILA KITI KINA TV, CHOO NDANI, FRIJI.
Kila siti ina TV
Posted by aman ngoma at 10:58 AM
Litaweza kweli kuhimili mikimiki ya barabara zetu za Tz??