Hilo basi lingekuwa linaingia uwanjan na kucheza hapo sawa!!! Hata wanunue ndege ubingwa watausikia kwenyewe kipindi cha spot cha redio one period!!
Home » Unlabelled » BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA
mleta mada muongo au laaa hajui magari.inamaana man u, barcelona,buyern wanatumia mabasi ya kichina?? Je na wenye ndege tp mazembe wameshindwa kununua hili basi la kichina?
Kumbe nawe umeona mkuu, yaani ni kama wanavyoharibu pale uwanja wa Taifa....lolWashachafua choo.
Aha wabongo tena kwa kupenda kunya .choo kipya washafanya uzinduzi:rain:Washachafua choo.
hivi unajua ulichoandika kweli!!!!?? nina wasiwasi ..............