Azam FC Washusha Basi Jipya-Kiu- laya Ulaya

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Home » Unlabelled » BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA
Hakuna Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi. Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki
 
Unaingiaje chooni??
6.jpg
 

Monday, December 30, 2013

HILI BASI JIPYA LA AZAM NI KIBOKO...KILA KITI KINA TV, CHOO NDANI, FRIJI.





Hakuna Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi. Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki.
Kitu cha maana
3.jpg
Kila siti ina TV
Kuna friji










Posted by aman ngoma at 10:58 AM










 
Back
Top Bottom