kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,630
- 14,752
Huyo Double Diff last time kumuona ilikuwa 1997 Jamaa alikuwa Dude Dude na sikuwahi kumuona akifanya mazoezi huwa nasikia alikuwa anatuna balaa akiwa anatokea mbele ya njia lazima ugeuze tu utake usitake... hawa ni baadhi ya watu nchini ambao hawajawahi kuonewa... Polisi wakienda kumkamata lazima wambembeleze kama vile Zanzibar wafanyavyo....
Huyu Ayubu Van Damme hata hao watoto wa kinondoni wanamjua kwani huwa ni mjanja sana kama una silaha anakusogelea karibu ndio maana hata polisi always na wanajeshi huchemsha kumchukua ili kumuadhibu na mwishowe huadhibiwa wao..
Kuna siku alizingirwa kwenye nyumba milango yote akavunja ukuta kwa mgongo yaani alienda mbele kisha akarudi kwa nguvu hadi ukutani ukuta ukavunjika then akasepa na machizi...
ha ha ha ha ha....