mleta mada ni miongoni mwa watu wanao ingia jf kwa matukio hasa pale selikali inapo jampa wanajitahidi sana kupuliza pafyumu ili wafiche harufu!.(nautangaza usalama wa taifa kuwa janga la kitaifa ndo waliotufikisha hapa)inaelekea watu wengine wanapoanzisha thread wanakua wamelewa! rubbish.................... umepata wapi habari za ayoub? hiki siyo kijiwe cha kahawa au baa. tumia ubongo!