AY arudi shule; kujiunga na chuo fake?

Kutoka stage moja kwenda nyingine chuo kinatakiwa kitimize masharti na viwango fulani, na huwa kuna muda ukipita ndio kinaweza fungwa. Mfano Provisional Registration ndio unapanda na kupata Full Registration, tokea hapo ndio ukitimiza masharti na viwango chuo kinakuwa accredited. Hivyo kwa IMTU kipo hatua nzuri, japo kina umri mkubwa kiasi kilipaswa kiwe kimeshakuwa accredited.
Asanteni kwa hiyo ni mtu mwenyewe kuuliza na kutafuta chuo na si vyote ni dhahabu.
 
wajinga ndio waliwao....watz wameshaozea kulizwa......bado nipo anasema graduate wanafanya kazi nzuri.....ndio kipimo chake....ngoja naanza kusoma posts zake tangu ajiunge nipime IQ yake...

mods naomba mbadilishe heading iwe.....Ay arudi shule,kujiunga na chuo fake?

ha ha ha ha kazi kweli kweli. hongera yako yoyo
 
Asante sana Yo yo, siku hizi vyuo vya mtaani vimezidi na sio hivyo tu siku hizi usanii umezidi kwemye elimu hasa ya juu. mimi siku moja nilipata e mail kutoka majuu eti wanatangaza possibility ya kupata cheti cha degree yoyote uitakayo ndani ya mwaka mmoja, na zaidi eti hata ukitaka bila kuattend chuoni kwenyewe. ndiyo najua kuna distance learning, lakini sasa mmh!
 
Jamaa ana chumvi kinoma. Hajasoma UD anasikia tu nae ankuja kutoa hoja. Mlimani watu wanakaa juu ya miti kusoma? Si kweli,hata mambo ya kusikilizia lecture madirishani hayapo.

Mkuu, hayapo yameisha?, au hayajawahi kutokea?. Maana suala hili ukitaka kujua kama lina ukweli au la ulizia watu waliokuwa na lecture ATB, ATA na surroundings zake. Ilikuwa kasheshe kwenye seminars, sasa kama wamepunguza idadi ya wanafunzi au wamejenga vyumba vingine ntakubaliana na wewe. Ila ilikuwa noma, watu wanaachiana seats kwenye "vimbwete"
 
Mie choka kabisa sielewi, IMTU nayo sio accredited! so mbona mpaka Masters wanatoa!??
KIU? sasa mbona serikali haieleweki, kwanini havifungiwi?
Mie IIT kijana wangu alienda na Form 4 maths amefeli walimwambia anaanzia Certificate ambayo ni miezi 6 nadhani, ndo unaingia diploma 1 yr, then Advance dip 1 yrs.
Nadhani hawa wame take into consideration watu wengi wanataka kujiajiri zaidi kuliko cheti, pia hizo diploma, unapewa cheti then advance cheti kisha 1 yr unamalizia degree - cheti ni kukuwezesha mtu kupata kazi wakati unasoma. haya ni maoni yangu lakini kama anavyosema Buswelu mie nimefanya kazi na mtu wa IFM na wa IIT, wa IFM tumemshindwa kabisa bora hata mie yaani hawezi kazi nyingi tu hawezi kabisa haelewi, sijui ni case ya 2 people hivyo samahani kama nakosea hapa.



Mama Joe,Mie nimeona kuandika mengi siwezi...ila kwa kweli IFM wanapata kazi uku kwenye serikari kwa kuwa tu ni chuo wanacho kitambua...lakini kwenye kazi hawa wahindi wa IIT,Learn IT na NewHorizon wako sawa jamani wanafunzi wao...Watu walianza kazi wana miezi minne tu kwenye certificate tayari washaanza kufanya mambo mtaani.Sri lanka kama mchangiaji alivyo sema hapo juu sio kila chuo akika credited....India nao ni wazuri sana kwenye IT na bussness..hata kwenye udaktali...Malaysia pita..indonesia..harafu ni rahisi kwenda....ndio maana watanzania huenda kule...sio kama Uk na kwingineko.
 
Mama Joe,Mie nimeona kuandika mengi siwezi...ila kwa kweli IFM wanapata kazi uku kwenye serikari kwa kuwa tu ni chuo wanacho kitambua...lakini kwenye kazi hawa wahindi wa IIT,Learn IT na NewHorizon wako sawa jamani wanafunzi wao...Watu walianza kazi wana miezi minne tu kwenye certificate tayari washaanza kufanya mambo mtaani.Sri lanka kama mchangiaji alivyo sema hapo juu sio kila chuo akika credited....India nao ni wazuri sana kwenye IT na bussness..hata kwenye udaktali...Malaysia pita..indonesia..harafu ni rahisi kwenda....ndio maana watanzania huenda kule...sio kama Uk na kwingineko.

Mkuu hapo nakupata. Its cheap and easy. Yo Yo atakwambia implication ya huo usemi.

Harafu mkubwa..hivi hii kauli ya kusema eti India ni wazuri kwa IT au Malaysia ni wazuri kwa udaktari mnalinganisha na wapi????? Naomba jibu.

Juzi ndugu yangu mmoja akaniomba ushauri anataka apeleke mtoto India kusoma degree ya IT..nikamwambia ndugu yangu..mwambie kijana aende kwenye mtandao/British embassy/US embassy au kokote anakojua atafute information alinganishe bei/quality/na nk..then aje mfanye uamuzi..jamaa aliniambiaje unajua eti ameshaambiwa na rafiki yake wa ofisini kwamba karo India ni cheap sana $$700 kwa mwaka! iNFACT kijana yuko Uhindini anakula shule..

Hakuna anayedespise elimu za watu hapa..lakini ukweli huko India, China nk..wanahangaika kama sisi kwenda huko magharibi kuitafuta "quality education" harafu wanarudi nyumbani kuendeleza nchi yao. Tuna mengi tunaweza kufaidika nao..lakini kuna nyanja na wao bado wanahangaika...

Cha muhimu ni kwamba....wale wanaopata nafasi ya kwenda huko west..wakimaliza warudi tuijenge nchi yetu. Hii longo longo ya waafrika kuwa second class katika kila kitu..imepitwa na wakati..
 
Mama Joe,Mie nimeona kuandika mengi siwezi...ila kwa kweli IFM wanapata kazi uku kwenye serikari kwa kuwa tu ni chuo wanacho kitambua...lakini kwenye kazi hawa wahindi wa IIT,Learn IT na NewHorizon wako sawa jamani wanafunzi wao...Watu walianza kazi wana miezi minne tu kwenye certificate tayari washaanza kufanya mambo mtaani.Sri lanka kama mchangiaji alivyo sema hapo juu sio kila chuo akika credited....India nao ni wazuri sana kwenye IT na bussness..hata kwenye udaktali...Malaysia pita..indonesia..harafu ni rahisi kwenda....ndio maana watanzania huenda kule...sio kama Uk na kwingineko.
Unajua sasa hivi Tz inabidi tubadilike, maana hizi Form 6 watu wanatafuta credit wee lakini wezetu anaweza kwenda kuanza certificate ya kitu kingine na mwisho akaendelea degree yake.
Sasa hapa tumeng'ang'ania credit form 6 ndo university afadhali hata enzi zetu mtu kweli anafaulu ila sasa na hizi leakage mie hata sioni tofauti. Mwisho wa siku kazini mnakuwa level moja, ndo maana wa Tz tunakuwa vijeba eti ndo anaenda kuanza 1st degree, hii system inabidi iangaliwe.
 
Thread hii imefungua mambo mengine mengi sana kuhusu Elimu Tanzania:

(a) Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazoongoza duniani kwa kuwa na uwiano mkubwa wa watu wenye vyeti vya elimu ya juu kutoka vyuo visivyotambulika (non-accredited)

(b) Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazoongoza duniani kwa kuwa na uwiano mkubwa wa watu wasiojua kusoma na kuandika.

(c) Kutokana na (a) na (b) hapo juu, si jambo la kushangaza kuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazongoza duniani kwa kukosa na maendeleo na kwa umaskini.

Limekuwa ni jambo la kawaida hapa Tanzania kuibuliwa kwa chuo kikuu (au equivalent) bila kuwepo kwa miundo mbinu itakiwayo kuendesha elimu ya kiwango hicho; hivyo wanakosa accreditation ya TCU, lakini bado wanaendelea kusajiri wanafunzi na kuwatoza ada. Kungewekwa sheria insyozuia tasisi yoyote ambayo haijapata accreditation ya TCU isisajiri wanafunzi.

Inashangaza vyuo vinafunguliwa mitaani na kujipachika majina au kujipa uhusiano na vyuo vya nchi za nje halafu vinawaibia watoto wetu hela bila kuwapa elimu itakiwayo. Huu ni uzembe sana kwa upande wa viongozi wetu wa elimu; utashangaa kuona kuwa chuo cha Mzumbe ambacho ni public na kinatoa wahitimu takribani 1000 kwa mwaka bado nacho hakijapata accreditation TCU.

Kuna mtu mmoja amezungumzia kuwa vyuo hivyo vya mitaani vinatoa MSCE kwa hiyo vinafundisha vizuri. Lakini anashindwa kufahamu kwa MSCE siyo elimu ya juu bali ni ujuzi wa kutumia Windows Server za Microsoft tu. Microfost wenyewe wanaonyesha kuwa unachotakiwa ni experience ya kutumia windows server kwa miaka miwili: angalia kwenye linki hii hapa. Unaweza kukaa nyumbani kwako ukachezea windows server yako kwa miaka miwili hadi ukaielewa kiundani, na hivyo kujipatia MSCE bila kuwekwa darasani na mtu yeyote. Angefanya utafiti wa kutosha angegudnua kuwa kuna MSCE certificate nyingi zinazotolewa mitaani lakini hazitambuliwi na Microsoft; kwa mfano, angalia kwenye link hii hapa.
 
siku hizi ukitaka kugombana na watu waambie kuhusu chuo walichopitia hata kama ni kibovu watatetea saaana, si unakumbuka wale wa sua walivyo mshukia kipanya alivyo wachora?

Burn kwanini hupendi kuwapa nafasi watu wa SUA wakapumzika? Tulishaiacha hiyo kitu unairudisha tena. Watakujibu sasa hivi,tusubiri tu!
 
Asante sana Yo yo, siku hizi vyuo vya mtaani vimezidi na sio hivyo tu siku hizi usanii umezidi kwemye elimu hasa ya juu. mimi siku moja nilipata e mail kutoka majuu eti wanatangaza possibility ya kupata cheti cha degree yoyote uitakayo ndani ya mwaka mmoja, na zaidi eti hata ukitaka bila kuattend chuoni kwenyewe. ndiyo najua kuna distance learning, lakini sasa mmh!

Hata mimi nilishapata email ad wananambia hata kama sina bachelor degree naweza nikapewa Bachelor na MBA kwa muda wa miaka mitatu. Eti wanafanya two in one ili uwe na cutting edge kwenye soko la ajira.
 
Mwalimu Kichuguu,

Juzi jamaa yangu (tunaheshimiana sana) ananiambia eti ana MBA..nikamuuliza ya wapi? akaniambia eti ya chuo kimoja "humu mjini" lakini kina affiliation na Princeton! Nikamwambia Princeton unaijua wewe? akasema hapana..ila walimu wao ndo wanatutungia maswali na kuyatuma! Sasa jamani kama siyo tragedy ni nini hii? harafu hivi vyuo vingi especially dunia ya nne kama kwetu..vinaomba affiliation na some colleges..then wanatumia majina ya hivyo vyuo kutuibia.

Ndo maana nasema watu mshughulishe ubongo! Uliza google. Kama unaweza kuja JF..weka maswali usaidiwe..Harafu hivi vyuo utavijua tuu wanapenda kutumia neno "international" kabla ya jina la degree..mbongo akisikia international business..anajua atafanya kazi hata wall street!
 
Hata mimi nilishapata email ad wananambia hata kama sina bachelor degree naweza nikapewa Bachelor na MBA kwa muda wa miaka mitatu. Eti wanafanya two in one ili uwe na cutting edge kwenye soko la ajira.

Kuna email nyingi kama hizi hapa chini ambazo zinapata soko Tanzania:

"Good News!

Interested to obtain Bachelors', Masters', MBA's, Doctorate & Ph.D. degrees
available in your field in 2 weeks time?

It's available now...

Call Us and get yours today
1-270-913-8215

Our Education office has someone available 24 hours a day, 7 Days a week

Why waiting?
1-270-913-8215"
au

Subject: no more money problems, get a degree in 2 weeks


Obtain a prosperous future, money-earning power and the prestige that comes with having the career position you’ve always dreamed of Diplomas are from prestigious non-accredited universities based on your present knowledge and life experience.


No required tests, classes, books or examinations. Bachelors, Masters, MBA’s, Doctorate & Ph.D. Degrees available in your field. Confidentiality Assured!



Call Now To Receive Your Diploma Within 2 Weeks 206-309-0336
 
Mwalimu Kichuguu,

Juzi jamaa yangu (tunaheshimiana sana) ananiambia eti ana MBA..nikamuuliza ya wapi? akaniambia eti ya chuo kimoja "humu mjini" lakini kina affiliation na Princeton! Nikamwambia Princeton unaijua wewe? akasema hapana..ila walimu wao ndo wanatutungia maswali na kuyatuma! Sasa jamani kama siyo tragedy ni nini hii? harafu hivi vyuo vingi especially dunia ya nne kama kwetu..vinaomba affiliation na some colleges..then wanatumia majina ya hivyo vyuo kutuibia.

Ndo maana nasema watu mshughulishe ubongo! Uliza google. Kama unaweza kuja JF..weka maswali usaidiwe..Harafu hivi vyuo utavijua tuu wanapenda kutumia neno "international" kabla ya jina la degree..mbongo akisikia international business..anajua atafanya kazi hata wall street!

Ndugu yangu umegonga kwenyewe, nilipoangalia hiyo website ya hao jamaa wa Learn IT nikakuta kuna elimu inaitwa International Diploma, kweli nilichoka kweli kweli, kwa sababu katika Marekani diploma ni cheti unachopata baada ya kuhitimu elimu fulani. Kuna high school diploma, Associate degree Diploma, College Degree Diploma, Graduate degree diploma, n.k.

Hakuna hakuna kitu kama international degree, international diploma au international certificate. Ukitambulisha digrii yako, lazima vile vile uonyeshe uliitoa chuo gani. Angalia, watu wanatambulisha elimu ya Obama kuwa "a graduate of Columbia University and [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Harvard_Law_School"]Harvard Law Schoo[/ame]l"
 
Bado NipoNipo: Hiki chuo kimesajiliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) na si Wizara ya Elimu kama unavyodai!! Course zinazotolewa hapo za NCC hazitambuliki maana Mitaala yao bado haijapitishwa na Baraza!! Hivyo hiyo Diploma HAITAMBULIKI!!! Kwa maelezo zaidi wasiliana na Baraza (NACTE) ili kujua kama hiko chuo kiko Accredited.
 
Hii thread imezusha mambo meengi na nilijua itafikia na nilitaka ifike hapa......
 
Naona hapa tunajadili kuhusu Ay kujiunga chuo fulani ambacho naona moja kwa moja ni feki. Sasa; tunachojadili basi kimfikie bwana mdogo Ay; kwa yeyote mwenye mawasiliano naye kwa njia yeyote basi mfikishieni ujumbe wa majadialiano haya. nadhani yatamsaidia sana kabla hajaliwa hela zake.
Ushauri wangu kwa Ay, ili kujiunga chuo chochote kinachotambulika; basi apumzike mzike at least kwa muda fulani ili a-resit exams, kama akidhamiria na uhakika atapata credit. Baada ya hapo aangalie asome chuo gani kinachotambulika.
 
Harafu mkubwa..hivi hii kauli ya kusema eti India ni wazuri kwa IT au Malaysia ni wazuri kwa udaktari mnalinganisha na wapi????? Naomba jibu.
ni sawa tuseme wachaga wanajua biashara.....mkuu haipingiki india wako juu kwa IT,business na fani za kitabibu.....sidhani kamaa kuna nchi barani africa na nyingi ulaya unaweza kulinganisha development ya IT n india.....hta majuu mkuu tunaona n kusikia kule silicon vllley wameja a wahindi na wachina.....na ni majuu kule.....

ukiangalia software engineer wengi ni wahindi....ila ndio wananunuliwa na wazungu...founder wa hotmail ni muhindi na wengine wengi...hata mshauri wa Obama wa IT ni muhindi.....ni ukweli usiopingika wenzetu wako juu.....apart ya chap labour huko india microsoft,IBM,DELL na kampuni kubwa za software wamehamia India....kwanini wasifungue matawi Holland,Poland au saudia Arabia?....


Juzi ndugu yangu mmoja akaniomba ushauri anataka apeleke mtoto India kusoma degree ya IT..nikamwambia ndugu yangu..mwambie kijana aende kwenye mtandao/British embassy/US embassy au kokote anakojua atafute information alinganishe bei/quality/na nk..then aje mfanye uamuzi..jamaa aliniambiaje unajua eti ameshaambiwa na rafiki yake wa ofisini kwamba karo India ni cheap sana $$700 kwa mwaka! iNFACT kijana yuko Uhindini anakula shule..
mkuu kwani quality ya elimu bora wewe unaipima kwa fee kuwa juu? au? kwa mujibu wako rafiki yako kasema fee ni $700 ambayo ni chini ya udsm na vyuo vingi vya tz so ina maana quality ya elimu tz iko juu mara dufu zaidi ya india au malaysia,sio? ulizia hapo learn It wanalimwa shilingi ngapi?btw elimu bora haipo UK,USA au canada.....kw sababu tu fee yao ni ghali

Hakuna anayedespise elimu za watu hapa..lakini ukweli huko India, China nk..wanahangaika kama sisi kwenda huko magharibi kuitafuta "quality education"
mkuu tafuta data za wahindi kukimbilia majuu....pia angalia je kimbilio kubw majuu ni undergraduate au post.....wamarekani wako china na south korea kwa tarifa yako wanalishwa shule ya IT.....ulizia mtu alieko Seoul atakuambia....alafu ujue kukimbiliaa majuu wengi wanafataa pay kama beijing,Soel au newdelhi wangewalipa vizuri wasingekuja majuuu
ni katika kuweka sawa
 
Back
Top Bottom