"Hatua kali za kisheria zitachukuliwa"
je ni hatua gani hizo zimechukuliwa toka intake ya watu wa kwanza hadi sasa wakuu?
wanatishia tu...ila maybe baadae zitachukuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Hatua kali za kisheria zitachukuliwa"
je ni hatua gani hizo zimechukuliwa toka intake ya watu wa kwanza hadi sasa wakuu?
daah we ndo umetuonyesha kama ni bonge la boyaaaa....Tambaza high school comb ya cbg hawajaenda hata mmoja na watu tuna div 2 na 3 nzuri boya wewe,.so CBG sio science
Ndo maaana nkakwambia top clean yote ishakwenda kule na ndo taifa lawategemea hao,walioenda mara ya kwanza hawakwend k matokeo,n shule tu na ikimbukwe tokeo halikuwa out,hii 2nd round wenye 3 n za Scienc tu ambazo n ushind kwao ndo maana Scienc cut off point zao znagusa hado 2.O sasa ww na H kunani yako umepata 3 nabdo walilia Jkt?ukafanye nn sasa,kaaa kwenu anza kimbia mchakamchaka na vitasa wenzio subir 10,14 na 17 kvyuo vyote vtakuwa vmefungua,Pole kwa tokeo kaza chuo upate GPA nzuri
Ndo maaana nkakwambia top clean yote ishakwenda kule na ndo taifa lawategemea hao,walioenda mara ya kwanza hawakwend k matokeo,n shule tu na ikimbukwe tokeo halikuwa out,hii 2nd round wenye 3 n za Scienc tu ambazo n ushind kwao ndo maana Scienc cut off point zao znagusa hado 2.O sasa ww na H kunani yako umepata 3 nabdo walilia Jkt?ukafanye nn sasa,kaaa kwenu anza kimbia mchakamchaka na vitasa wenzio subir 10,14 na 17 kvyuo vyote vtakuwa vmefungua,Pole kwa tokeo kaza chuo upate GPA nzuri
kwa hiyo PCM mwenye dv 3 pt 17 ya E,S,S ambaye ameenda jkt na mm EGM mwenye dv3 pt13 ya D,D,E bora nani na nani mwenye sifa ya kwenda chuo kuchukua degree na nani ambaye taifa linamtegemea! Kweli ww kilazaa! m_a_k_u ww
naona bado 2 unarudia makosa yako B.G
ngoja tuachane naee dada Kiboko
mpotezee uyo nahic anausingz, au inawezekana anaota, utabishana vp na m2 anaeota wang! mwache kwanza akishtuka utamuelewesha![/QUOTE][QaUOTE=Darius;7163706]kwa hiyo PCM mwenye dv 3 pt 17 ya E,S,S ambaye ameenda jkt na mm EGM mwenye dv3 pt13 ya D,D,E bora nani na nani mwenye sifa ya kwenda chuo kuchukua degree na nani ambaye taifa linamtegemea! Kweli ww kilazaa! m_a_k_u ww
how comes broo
be polite u will understand me what i mean
Mmefuta comment yangu??