Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kwanza mambo ya kulima.,bado kukimbia na kukata visiki...ukitoka huko yani unakuwa na vigimbi vya mashavu sio vya mikono tena
kwanini unasema, mi wala sitanii
We kwanza mambo ya kulima.,bado kukimbia na kukata visiki...ukitoka huko yani unakuwa na vigimbi vya mashavu sio vya mikono tena
haya bana! Ukienda inabid ujikazee, mbona me jiran yangu tena lelemamaa ile mbaya amewezaa na ni jinsia kama yako tuu! Yeye alienda 1st intake
Waliopasua mtihan wote wameshaenda,nyie mliochekecha na matokeo ya ICU hayo nenden vyuon tu top clean yote ishaenda jeshn sasa ww wataka ukafanye nn kule?
Poa bwana lakini mi hko siend wataniua bure mtoto wa watu
nenda ukakomazwee uwe mkakamavu utakuaje mwanamke mzembe mzembe!!?
mi sio mzembe,nipo ngangari ila shida yote hiyo ya nini kwani kuna vita inakuja
malawi, rwanda wote tuna kweree nao, so ndo tunajiandaa hvyoo!! By the way nakutaniaa ucje ukaliaa buree
we haya
Waliopasua mtihan wote wameshaenda,nyie mliochekecha na matokeo ya ICU hayo nenden vyuon tu top clean yote ishaenda jeshn sasa ww wataka ukafanye nn kule?
hapo si ndo mzuka sasa B.G
daah we ndo umetuonyesha kama ni bonge la boyaaaa....Tambaza high school comb ya cbg hawajaenda hata mmoja na watu tuna div 2 na 3 nzuri boya wewe,.so CBG sio science
cpo kwa ajili ya kubishanaa! Swal langu mbona 1st intake walioenda wengine wamerudi na kupokea dv4 na zero za kutoshaa hawa nao ni vichwaa! Swali la pili, kwa hawa walioenda 2nd intake mbona kwa wenye principle moja kwa science i.e dv 3 pts17 (E, S,S) wameenda mfano my young brothr amegraduate majengo moshii, vile vile mbona kuna wengine wana dv 3 za science bado wapo kitaaa!!? Hebu fafanua kdgoo