julieth kelvin
Member
- Jul 30, 2013
- 44
- 5
nauliza kama kuna mtu ana taarifa yeyote kwa wale wanafunzi wanaotakiwa kwenda awamu ya tatu jkt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nauliza kama kuna mtu ana taarifa yeyote kwa wale wanafunzi wanaotakiwa kwenda awamu ya tatu jkt
wana udsm 2naripot mwez wa 10 tar 12 jkt utaenda na baba yako
Wana Ardh chuo chetu kinafunguliwa 29/9
course gani mkuu??
Building economics-(quantity surveyor)
Watu tushasahau kama kuna kwenda huko,in fact chuo ni Sept.
Uthibitisho;ingia web ya SAUT angalia wanafunzi wapya wanatakiwa kuripoti tarehe 16 september.... overr
Building economics-(quantity surveyor)
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!
Naomba iwe hivo!
Maana
Nimemmiss sana demu wangu kiukweli!
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!
Naomba iwe hivo!
Maana
Nimemmiss sana demu wangu kiukweli!
Ha ha ha ha,umenifurahisha sana chali yangu.
haaaa ahaaaa tafta mwengne analiwa huko na wajeda...!!
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!
Naomba iwe hivo!
Maana
Nimemmiss sana demu wangu kiukweli!