Hongera kijana, nenda kapige kazi.Jamani nimekuwa mtu wa kilalamika sana humu baada ya serikali kutangaza ajira awamu mbili na zote bila mafanikio lakini nashukuru leo hii wametoa majina mengine tena ila kuripoti mwisho tar 3 mwezi huu huu wa saba.
hahahahahahaha!hongera sana kazi njema mwalimu,,vip huyu chemichemi sijamsikia muda mrefu?
Jamani nimekuwa mtu wa kilalamika sana humu baada ya serikali kutangaza ajira awamu mbili na zote bila mafanikio lakini nashukuru leo hii wametoa majina mengine tena ila kuripoti mwisho tar 3 mwezi huu huu wa saba.
hahahahahahaha!hongera sana kazi njema mwalimu,,vip huyu chemichemi sijamsikia muda mrefu?