chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
wapangaji hii nafasi tuitumieni vizuri tusijekulaumiana chumba kikifika laki moja
Kumwita kikwete. Dokta[/B]. Hivi, ni ushabiki, ni ufala au ilimbukeni, au kujikomba???[/B]
Ni Dokta wa Kichina huyo!Aiseee, yani hata mimi hii kitu huwa inanishangaza. Yani jinsi wanahabari wa bongo walivyolikomalia, hadi inakuwa kero, sasa madokta wa ukweli hapa watawaitaje? kaaazi kweli kweli.
Ni Dokta wa Kichina huyo!
.....Na pia hukusanya lundo la wanafinzi na kuwapeleka kwenye mkutano ili waongeze idadi ya waudhuliaji.
swadakta!!
manake wachina kwa kuchakachua, wanatisha.
Wanachakachua hata elimu, mpaka marubani wa ndege wamechakachua elimu na vyeti, si mchezo babake china balaa.
nilikuwa naongea na jamaa yangu ambaye ni askari polisi anaomba sana Dr Slaa apite ili waweze kujenga walau nyumba make maisha magumu inafikia wanastaafu bila ya kujenga nyumba tokana na kodi kubwa ya vifaa vya ujenzi
Mbona hata kwenye hiyo picha mliyotuma kumejaa watoto wengi? Kampeni za uchaguzi ni sinema tosha kwa wananchi wengi hasa huko mikoani.
Kumbukeni ya Mrema 1995, sio tu kwamba wananchi walienda wenyewe, bali pia walimbeba juu juu kama maiti lakini ilipofikia siku ya uchaguzi wakaipigia CCM.
Dr. Slaa usibweteka, endelea kukata mbuga hasa huko vijijini. Njia ya kwenda Ikulu bado ni ngumu sana na imejaa miiba. Inatakiwa uwe na watu mara tatu ya JK kwenye mikutano yako.
Halafu mikutano mingi ya kampeni naona inajaa wanaume tupu. Angalieni sana kura za wanawake, hizo ndio zina uhakika na wako wengi na wakiamua huwa habadiliki kirahisi.
Dr Slaa anakubalika sana kanda ya Ziwa, lakini mbona naona watoto wapo wengi? Je hawa ni wapiga kura hapo Oct 31?