Jestina JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,831 1,707 Feb 24, 2012 #22 hahaha una miaka mingapi??? nahisi biology ulipata mwanaasha hehehe
mzurimie JF-Expert Member Oct 16, 2011 6,143 3,624 Feb 24, 2012 #23 Kwa hiyo kila akipata mimba anatoa? Mwambie aombe msamaha kwa Mungu maana itakuja siku hata hataona mimba ikitinga ataangaika na kuishi bila kuzaa. Kuondoa malaika wa Mungu kimchezo sio vizuri. Wengi wanajuta mbeleni maishani. Na inaelekea hapendi hata kutumia mpira kujikinga amezoea kuua tu anaona raha.
Kwa hiyo kila akipata mimba anatoa? Mwambie aombe msamaha kwa Mungu maana itakuja siku hata hataona mimba ikitinga ataangaika na kuishi bila kuzaa. Kuondoa malaika wa Mungu kimchezo sio vizuri. Wengi wanajuta mbeleni maishani. Na inaelekea hapendi hata kutumia mpira kujikinga amezoea kuua tu anaona raha.
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 Feb 24, 2012 #24 Bigbro said: Hizi bangi hizi!!! Click to expand... Tena kitu cha iringa hiko!