nadhani makuzi na jamii aliyokulia mtu inaamua kwa kiasi kikubwa juu ya hili. kuna wasiopitia kokote, 1st relationship, inakuwa ndo 1st love and last marriage!
unatakiwa uwe nazo relationship nyingi iwezekanavyo, ili ukija kuoa ubaki katika mke mmoja usiwe macho kumchuzi.
sasa wewe umeulizwa unazo ngapi hadi sasa...?? JIBU SWALI msimo jr
Mbona umeguna tena jamani?
Nimeishiwa nguvu.... kwa vigezo vifuatavyo...
- Age watu wanaanza Sex zimetofautiana... Mwingine 14... mwingine 18 or 20 plus...
- Unaposema Relationship... ina maana alie pitia u-CD... yule mwenye kutegemea one nite stand wooote hao hawahesabiki - kwa hio wewe una shida na alowahi lala nao au mahusiano.... Maana kuna wanaume nawajua mpaka kaoa hajawahi kua katika mahusianoa but kalala na wanawake 50 kidogo....
- Alafu swali lako fishy.... what are you aiming at??
Hahahahahaaa theres nothing fishy kabisa just wanted to hear. But mi nazungumzia wale wa mahusiano kwa kiswahili, zile za "CHAPCHAP" haziko kwenye hesabu