Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
Huyu atakuwa amechanganya avatar na ID..
Yeah...alafu ID nazo sijui huwa zinasema nini!! Maana kama wapo watu wanaojiita majina ya ajabu ajabu sijui ndo inakuaje..!
Huyu atakuwa amechanganya avatar na ID..
...what else?!Yeah..you got that right...I'm a good looking young gunner!
Halaf michelle mbona haonekani? kaolewa kijijini nini? hakuna netwekiHhahhaha...ndio maana nimekaa hapa najifumua nywele mwenyewe!!!
Umejuaje?Nikiweka avatar nitaweka picha yangu halisi,kuhusu mawazo nadhani hajawahi kupigwa kabari namba 14 wewe.
Kicheko means yes right ?,Kloro kaa mkao wa ...
Anasema avatar hufanana na mawazo ya watu meaning NN una mawazo ya kitoto lol! siku nyingi hujafoka bana hebu muwashie moto huyu dogo wa Tandale.
...what else?!
Hahaha... Ngoja tuanze na klorokwin atuambie why anajiita klorokwin?Yeah...alafu ID nazo sijui huwa zinasema nini!! Maana kama wapo watu wanaojiita majina ya ajabu ajabu sijui ndo inakuaje..!
Kicheko means yes right ?,Kloro kaa mkao wa ...
Hahaha... Ngoja tuanze na klorokwin atuambie why anajiita klorokwin?
Hahaha! Kloro we njoo tu na hiyo suruali yako ya kitambaa na zile raba zako! Si unajua cha kuazima hakisitiri??hehehe Kamanda, tayari nimeazima jinzi na ngende ya kutoka na sweetlady wikiendi ijayo!
Hahaha! Acha kunivunja mbavu bana... Nna swaumu eti...maza wangu wa kambo ni queen wa azebaijan sasa first name kloro halaf surname natumia royal queen, wengi wananikonfyuzi na lile dawa la malaria lakini infakti mimi ni royal family wa azebaijan.
kwa maelezo haya natarajia PM kuongezeka.
Logic ya mitaani.Umejuaje?
I'm loaded...
Hahaha! Kloro we njoo tu na hiyo suruali yako ya kitambaa na zile raba zako! Si unajua cha kuazima hakisitiri??
Halaf michelle mbona haonekani? kaolewa kijijini nini? hakuna netweki
Khaaaa! hakyababu michango yetu sasa iko hatarini!Kawa mod....siunamjua P..W?!
Hahaha! Afu ukute kanyoa upara!!au hajachana nywele!!.. Ila kweli uswahilini kuna vituko, mtu anaazima hadi wigi??..ntakununulia blaki beri ili usikose tena picha kama hizo..lol ni muhimu kwa kumbukumbu za jf!Dah! nasibitisha hapo red! juzi kuna mdada kanyang'anywa wigi harusini aisee! kinokia changu hakina kamera lakini ilikuwa niinase laivu halaf nikurushieni. Uswahilini bana!
Meno yake yameoza(kama ya kichaga) lazima abishehii yako inaonesha unapenda sana kupiga mswaki! bisha!
i'm Good (from looks,personality you name it!) did i mention i'm also a guy,i'm Good Guy! The avatar can anyone tell me who the guy is? If anyone can well you gat ur answers,i'm smart as the guy! By the way umesema uko wap vile tuje na shost tufungue saluni huko.lolYeah...alafu ID nazo sijui huwa zinasema nini!! Maana kama wapo watu wanaojiita majina ya ajabu ajabu sijui ndo inakuaje..!
ni mabuyuna wasiokuwa na avatar je?