Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Hivyo enhe
hii yako inaonesha unapenda sana kupiga mswaki! bisha!Hivyo enhe
Lol...Wee litumie tu bana, kizuri kula na nduguyo, mwisho wa mwezi tutatafta kizuri kingine tule pamoja, mie ma feza staki bana!
Khaaa! Ngoja nimsubiri Husni aje anisaidie kujibu hapa!...si ya mlengwa wa kushoto wala kulia, sio realistict, rebel wala femenist, si baridi wala moto
<br />Usijali sana kwani hata user name yako imekaa kiavatar avatar na inarepresent your personality vizuri tu
hii yako inaonesha unapenda sana kupiga mswaki! bisha!
ahahaaH,..kwa hiyo hapo comrade unawakilisha kijiti family...imekaa vema.duh kwa hyo mawazo yangu yako!!......... Ahhhh si kweli
Kwa hio, kaka jambazi ni jambazi?
Mara zote huwa naona Preta, Michelle, Lizzy, Shantel, The Boss, Rejao, Afro Denzi...wanafanana na avatar zao hata za macelebrity. FaizaFox na King'asti...hapana, wako tofauti!
Huyu atakuwa amechanganya avatar na ID..Kwani avatar ya KJ ikoje?!
hii ya kwako inaonesha unapenda kushangaa shangaa! halaf unaishi mbali na saluni ! bisha!Kwani avatar ya KJ ikoje?!
Something...anything...nothing...What's going on here?
Something...anything...nothing...
hii ya kwako inaonesha unapenda kushangaa shangaa! halaf unaishi mbali na saluni ! bisha!
Nikiweka avatar nitaweka picha yangu halisi,kuhusu mawazo nadhani hujawahi kupigwa kabari namba 14 wewe.hata mawazo yao yapo yapo tu
Kicheko means yes right ?,Kloro kaa mkao wa ...Lol...
Anasema avatar hufanana na mawazo ya watu meaning NN una mawazo ya kitoto lol! siku nyingi hujafoka bana hebu muwashie moto huyu dogo wa Tandale.What's going on here?
everything...
Mhuuuu!!!
So what‘s you avatar saying about you?!CUTE?!YOUNG?!...........,?!