umeona eeh??huyu bishanga huyu mhh???
Kama wewe ni she huna ruhusa ya kumwomba Bishanga urafiki, maombi yapitie kwangu kwanza.jamani hebu naomba nielekeze basi nikutumie request ya kukuomba urafiki..
Kama wewe ni she huna ruhusa ya kumwomba Bishanga urafiki, maombi yapitie kwangu kwanza.
Kama wewe ni she huna ruhusa ya kumwomba Bishanga urafiki, maombi yapitie kwangu kwanza.
jamani watu wa aina yangu tunatambulika kama ma shemale
Kama wewe ni she huna ruhusa ya kumwomba Bishanga urafiki, maombi yapitie kwangu kwanza.
au vipi bana! Aseme wakware wajimwage!
ni ukweli ndugu jaribu kunisearch shemale kwenye net utaelewa vizuri..
Nijuavyo hapa jamvini hatuna mashemale tuna male na she basi ndo maana hauna marafiki
Ina maana wanakupumulia kisogoni?
Jamani msitutenge na sisi pia tupo kwenye jamii....halafu mjue nipo serious mwenzenu...ni shemale kweli,nimeona nijitangaze maana mtaani sina raha watu kutwa wananinyooshea vidole.
Dah siwezi kuruhusu kabisa,me ni miongoni mwa wachache kati yetu waliokamilika..
Poa nitonye!mambo Sweetlady nimekumiss!
tatizo sijui hata kuomba urafiki nafanyaje..
Poa nitonye!
Nimekumiss pia swahiba, kwani ulipotelea wapi?