Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,608
Salam
Nipo kwenye basi, naenga home likizo (Ushongo, Tanga)
Naenda kumuona Anti yangu AshaDii karudi Nyumbani
Sasa hapa next to me kuna dada fulani, msafiii, mzuriii
Ana Samsung Galaxy III, anabrowse JF (tena chit chat)
Nadhani ni charming lady (ila sijaona username vizuri)
Katika kupekua kwake kurasa za JF, mi nasoma in oblique
Nimeona avatar mpya ya Meezy, nikaona niifungulie thread:
Who knows where this Avatar means and where it's from?
atakae weza nampa zawadi nzuri (very pleasurable)
PS: kama unajua, don't spoil the fun, just say it in codes!
tuone kwanza watu ngapi wanajua. Hint: FINISH HIM!
PLEASE, PLEASE, Usiseme wazi, use coded language!
Nipo kwenye basi, naenga home likizo (Ushongo, Tanga)
Naenda kumuona Anti yangu AshaDii karudi Nyumbani
Sasa hapa next to me kuna dada fulani, msafiii, mzuriii
Ana Samsung Galaxy III, anabrowse JF (tena chit chat)
Nadhani ni charming lady (ila sijaona username vizuri)
Katika kupekua kwake kurasa za JF, mi nasoma in oblique
Nimeona avatar mpya ya Meezy, nikaona niifungulie thread:
Who knows where this Avatar means and where it's from?
atakae weza nampa zawadi nzuri (very pleasurable)
PS: kama unajua, don't spoil the fun, just say it in codes!
tuone kwanza watu ngapi wanajua. Hint: FINISH HIM!
PLEASE, PLEASE, Usiseme wazi, use coded language!
Last edited by a moderator: