jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
- Thread starter
- #41
Na siye tulioanza kuvuta fegi tangu tukiwa darasa la tatu B shule za kata haupendi avatar zetu?
Enzi hzo hata hujazeeka lol...
Nmeisahau avatar yako ya kipindi hicho ODM.
Na siye tulioanza kuvuta fegi tangu tukiwa darasa la tatu B shule za kata haupendi avatar zetu?
Nimekuwa mvivu kuanzisha thread sikuhizi, hata kupitia za zamani.
Hyo ishu ya PM inabidi nkutwange fine kama ulii-delete, yaani nmekumbuka ndo ilikuwa PM yangu ya kwanza kuandika na nikaapa sitam-PM mwanajf yeyote baada ya wewe kunichunia lol
AshaDii alikuja kuvunja kiapo changu.
kuna thread iliwahi kuanzishwa na BAK kusema inayoendana na yako
hahahahah lol
duhhhh haya bana mi ntakubembeleza tu
unisamehe , sina lingine zaidi..
Nlikusamehe siku dotto alipoangukia mikononi mwangu, japo kuna lijitu limekuja kunipora tena!
Duhh na ujanja wote huo uliporwa vipi my dear ??
hatuchekani wote wachafu na wote tupo kwenye dimbwi la mawazo tutatokaje hapa tulipo! ila mwenzangu wewe naona upo majukwaa yote, unatisha, kila kwa mama muuza lazima upite upate japo kibubu 1 loh!
mmmmwaaah!
niliingia jukwaa la kina funzadume kule, loh! niliyoyakuta ilinibidi nitoke balu nakuja kukaachini kutafakari mambo wanayofanya vijana siku hizi,wewe nona mawazo yamekuzidi-maana naona hata kusimama sasa huwezi
lazima nilpite huku na huku-si unajua mambo ya kuchakarika mpaka huku 2nachakarika