Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
mama Brian naona umepigika kwelikweli.... ni nini?
Kunikuta kwenye jukwaa la mahusiano ni ndoto. kazi ni kukombowa nchi kwanza mahusiano yatafuata baadae. nipo kiokombozi zaidi.
Kunikuta kwenye jukwaa la mahusiano ni ndoto. kazi ni kukombowa nchi kwanza mahusiano yatafuata baadae. nipo kiokombozi zaidi.
well said
Naomba nitoke nje ya mada kidogo. Naomba nisaidiwe namna ya kuweka AVATAR.Nitashukuru kwa hilo wana JF wenzangu.
hatuchekani wote wachafu na wote tupo kwenye dimbwi la mawazo tutatokaje hapa tulipo! ila mwenzangu wewe naona upo majukwaa yote, unatisha, kila kwa mama muuza lazima upite upate japo kibubu 1 loh!mimi ndo ninavyo tabasam hivi
mmmhhhh sante mkuu
(thumb up?) mmhhh
mie itabidi uni PM nikwambie kwa nini ..
Top Secret hahahahhaahah lol
hadi kesho hujanijibugi PM yangu lol!
Happy VD.
Mimi sielewi jf ni makatili au mna roho mbaya? Zaidi ya watu watatu wanauliza namna ya kuweka avatar na mimi nikiwa ni mmoja wao lakini mnajifanya hamuoni roho mbaya hiyo! Si mtufundishe na sisi tuweke! Mnakuwa kama ccm!!!!!!!!!!!!!
hahahaah lol Hivi kumbe ae.. samahani sana
ngoja nikaishokonoe huko PM .. Happy Valentine day to you too dear..
watu wa JF wanavisa, sijui nani kaikurupua hii uzi. Nmekumbuka mbali kweli,
ila sijawahi kukushukuru, ulinipokeaga vizuri sana jamvini.
Yah nasubiri jibu la PM yangu lol
mmmmwaaah!
Mimi sielewi jf ni makatili au mna roho mbaya? Zaidi ya watu watatu wanauliza namna ya kuweka avatar na mimi nikiwa ni mmoja wao lakini mnajifanya hamuoni roho mbaya hiyo! Si mtufundishe na sisi tuweke! Mnakuwa kama ccm!!!!!!!!!!!!!
Mkuu,
Kwanza nikupongeze kwa kuwa ctive new member
pili nikushauri kwamba font yako inaonyesha una-shout (bold, big fonts etc) na wengine unatuumiza macho
pia si vibaya kurejea previous threads kuna nyingi tu zinazohusu avatar
karibu tena
Usjali mambo madogo tu ..
sasa itumie PM nyingine tena basi hahah ahah lol
maana ile imesha kimbiaga siku mingi "na delete PM kila mwezi"
hahahah lol
chitulanghov huyo jamaa ndo alikusaidia kuifukua ..
si mbaya ilimradi hujafukua mwenyewe..