hahahahahah lohhh
huyu so Mugabe bana looohhh
Dena habari yako...
Nzuri Baby nimekumiss sana aisee upo wewe.............................................
tumbili ....
wamependeza???
Nawe bana ....
FB hiyo ndo avatar gani tena na wewe kha!!!
kwa nini? Umeipenda?
Sijaipenda kabisa
niibadilishe?
hahahahah lol
hamna wala ..
Hujambo lakini sis?
ulikuwa wapi jana ..Maza alikuwa analeta zile za
"yuko wapi huyu asiporudi nafunga mlango alale nje.."?? lol