njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,369
- 5,513
kamtego kadoogo tu usha nasa???lol
hehehe.....oa
kamtego kadoogo tu usha nasa???lol
na yanguje.
Yule wifi yako
unaweza kuwa bikira
bikira zipo za aina nyiingi....lol
au waweza kuwa 'ulihifadhiwa kwa ajili ya matambiko'
haikuwa uamuzi wako....lol
environmental science and management.Haya safari njema hope utafaidi na kujifunza mengi.ila sijajua unaenda Itombwe ninayoijua mie ile ya DRC au hiyo iko hapa bongo.kama ni ya DRC utafanikiwa mwona ndege mmoja aitwa "itombwe flycatcher" kama sikooseiOK. Ulikua unasoma nini? Biology? Kuna kasafari ka kwenda Itombwe kufanya environmental baseline... Walisema toward july 2012. Najipanga sana, nataka niende na hao scientists, hata kama mpishi. lol
Naomba mtu asiseme kitu juu ya avatar yangu tafwadhali.
Ningependa kujua ya Preta ila naogopa kuuliza!
Ni Itombwe ya DRC. kuna endemic kama 58... nilibahatika kuona 4 of them some 20km from the forest ila sababu ya insecurity hatukuruhusiwa kusogea zaidi(2008).environmental science and management.Haya safari njema hope utafaidi na kujifunza mengi.ila sijajua unaenda Itombwe ninayoijua mie ile ya DRC au hiyo iko hapa bongo.kama ni ya DRC utafanikiwa mwona ndege mmoja aitwa "itombwe flycatcher" kama sikoosei
Unaweza ila hako kamkono mbona umekachomeka hapo mahali???? kunani?Kumbe naweza kugombea umiss eh
Unaweza ila hako kamkono mbona umekachomeka hapo mahali???? kunani?
Avatara yangu inanikumbusha tamthilia ya Second chance ambapo Cantalisia alikua mke wa Salvado Serinza niliipenda sn na ckinai kuiangalia,nampenda sn Cantalisia.
Tobaaa!wewe unasaga unga?
Kumbe naweza kugombea umiss eh
Kabisa! Ingia mwaka huu 2012 kama ulivyo.Utamsikia yule mhindi akitangaza:"This year' s winner iiiis:Kabakabana of Jamiii Forums!" Lakini nina hofu ya kitu kimoja. Hiyo avatar ni picha yako ya zamani sana. Sasa hivi hapo ulipo umevuta vyumba kadhaa!