SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Heri ya mwaka mpya wapendwa wa JF. Leo nipo tena kwenye avatar za Jf. Kuna avatar humu. kila nikiziona zanikumbusha watu, kitu au mahali fulani: Orodha ya avatar na majina ya watu/vitu ninavyokumbuka ni:
1. avatar ya PakaJimmy: Yanikumbusha Mohamedi Ali, (Cassius Clay) akimshushua mpinzani wake kabla ya pambano la ngumi.
2. avatar ya Keren Happuch: Yanikumbusha Opray Winfrey alipokuwa na umri wa miaka 22.
3.avatar ya Russian Roulette: Yanikumbusha Salama Jabir mwanahabari maaruf Afrika Mashariki.
4.avatar za FaizaFoxy, Asha Dii, Fatma Bawazir na Mwali:Zanikumbusha Tanga Zanzibar na Mombasa
5. avatar za Lizzy na Kabakabana: Zanikumbusha mashindano ya Miss Tanzania
6avatar ya Nitonye: Yanikumbusha Mike Tyson
7. avatar ya Excellent:Yanikumbusha mchezaji Wayne Rooney wa Man U.
8.avatar ya The Finest:Yanikumbusha Nicholaus Anelka anayechezea Chelsea.
Na wewe je? Wakumbuka nini ukiona baadhi ya avatar za wanajf?
..................................................................................................
.....................................................................................................
1. avatar ya PakaJimmy: Yanikumbusha Mohamedi Ali, (Cassius Clay) akimshushua mpinzani wake kabla ya pambano la ngumi.
2. avatar ya Keren Happuch: Yanikumbusha Opray Winfrey alipokuwa na umri wa miaka 22.
3.avatar ya Russian Roulette: Yanikumbusha Salama Jabir mwanahabari maaruf Afrika Mashariki.
4.avatar za FaizaFoxy, Asha Dii, Fatma Bawazir na Mwali:Zanikumbusha Tanga Zanzibar na Mombasa
5. avatar za Lizzy na Kabakabana: Zanikumbusha mashindano ya Miss Tanzania
6avatar ya Nitonye: Yanikumbusha Mike Tyson
7. avatar ya Excellent:Yanikumbusha mchezaji Wayne Rooney wa Man U.
8.avatar ya The Finest:Yanikumbusha Nicholaus Anelka anayechezea Chelsea.
Na wewe je? Wakumbuka nini ukiona baadhi ya avatar za wanajf?
..................................................................................................
.....................................................................................................