Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,773
Wanabodi,
Katika hizi siku za karibuni , nimefatilia katika vituo vyetu vya Tv hapa nchini, nimegundua uwepo wa ushindani mkubwa katika vituo hivi.
Naongelea pale inaposomwa taarifa ya habari.
Vituo vingi vimebadili ama kuboresha view image ktk uenekano wa eneo pasomwapo taarifa ya habari .
Kwa mimi naichukulia image hiyo kama ndiyo avatar ya kituo husika .
Navutiwa sana na avatar ya ITV kuliko zingine .
Mdau mwenzangu una sababu yeyote ya kutoniunga mkono kwamba ITV ina mvuto zaidi image yake kuliko zingine ?
Katika hizi siku za karibuni , nimefatilia katika vituo vyetu vya Tv hapa nchini, nimegundua uwepo wa ushindani mkubwa katika vituo hivi.
Naongelea pale inaposomwa taarifa ya habari.
Vituo vingi vimebadili ama kuboresha view image ktk uenekano wa eneo pasomwapo taarifa ya habari .
Kwa mimi naichukulia image hiyo kama ndiyo avatar ya kituo husika .
Navutiwa sana na avatar ya ITV kuliko zingine .
Mdau mwenzangu una sababu yeyote ya kutoniunga mkono kwamba ITV ina mvuto zaidi image yake kuliko zingine ?