Auwawa kinyama nje ya kanisa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
1210830394_mauaji.jpg


Habari kutoka kwa mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye hakupenda jina lake liandikwe, zilitaja kisa cha mauji hayo kuwa ni hasira za wananchi waliomtuhumu kijana huyo kwa kupanga njama za kutaka kuiba katika nyumba ya mzee mmoja aliyetajwa kwa jina la Rajabu.

Ilielezwa kwamba kabla ya kuuawa, marehemu akiwa na wenzake watano walionekana kuzengea vitu (havikutajwa) vya mzee huyo kwa lengo la kuviiba.

“Kwa bahati wakati wanataka kuiba mwenye nyumba aliwaona akapiga kelele za mwizi wananchi wakatoka na silaha za jadi, yule kijana akawa anakimbilia kanisani, alipofikia kiwanjani kabla hajaingia ndani wakamkamata, wakampiga na kumuua,” alisema shuhuda huyo.

Katika mauaji hao wananchi walimkata marehemu kwa panga ambapo picha za tukio hilo zinatisha hivyo tumeshindwa kuzichapisha gazetini kutokana na sababu za kimaadili.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Bw. Emmanuel Kandihabi alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.


Source: Gazeti la Amani
 
Sasa hii thread ina uhusiano gani na jukwaa la dini? Mods ihamishiwe kwenye habari mchanganyiko.
 
Kila kitu ni lazime kifanyike kufuatana na time and place. Uwanja wa Kanisa ni pahali patakatifu. Siyo mahali pa kumuua mtu.
 
Kwani tukio hili linahusiana vipi na kanisa kama siyo tu uchokozi?
Na je angeuawa nje ya nyumbani kwako ungeleta hii habari?
 
"Kwa bahati wakati wanataka kuiba mwenye nyumba aliwaona akapiga kelele za mwizi wananchi wakatoka na silaha za jadi, yule kijana akawa anakimbilia kanisani, alipofikia kiwanjani kabla hajaingia ndani wakamkamata, wakampiga na kumuua," alisema shuhuda huyo.


This is so ironic. Why is it that people "run" to church only when they are about to die? If only he had run to church and Jesus Christ earlier in his life he wouldn't have met such a fate.
 
Nimeleta hii topic nikajuwa nitapata wapinzani ndio maana nikaleta hiyo Topic hivi ni kweli Mtu anauliwa nje ya Eneo la Takatifu la Kanisa na Waumini wanaona anavyouliwa wanashindwa hata kumuokowa? hivyo ndivyo Alivyofundisha Bwana wetu Yesu Kristo?Binadamu anauliwa na watu wabaya nyie Waumini mnaangalia kwa Macho pasipo kumuokowa? na Uongozi wa kanisa unaangalia tu waumini na Wachungaji? Inasikitisha sana hata akiwa ametenda kosa sio haki auliwe kuna Seriakali na wanaohusika kama Polisi na Mahakama ndio wanayo haki ya kumchukulia hatuwa Sio Rai wa nchi hivyo tutaendelea jamani? inasikitisha sana.MIAFRIKA BWANA HIVYO NDIVYO ILIVYO.
 
Nimeleta hii topic nikajuwa nitapata wapinzani ndio maana nikaleta hiyo Topic hivi ni kweli Mtu anauliwa nje ya Eneo la Takatifu la Kanisa na Waumini wanaona anavyouliwa wanashindwa hata kumuokowa? hivyo ndivyo Alivyofundisha Bwana wetu Yesu Kristo?Binadamu anauliwa na watu wabaya nyie Waumini mnaangalia kwa Macho pasipo kumuokowa? na Uongozi wa kanisa unaangalia tu waumini na Wachungaji? Inasikitisha sana hata akiwa ametenda kosa sio haki auliwe kuna Seriakali na wanaohusika kama Polisi na Mahakama ndio wanayo haki ya kumchukulia hatuwa Sio Rai wa nchi hivyo tutaendelea jamani? inasikitisha sana.MIAFRIKA BWANA HIVYO NDIVYO ILIVYO.

Ndugu wapi inaonyesha kuwa wakati anauliwa huo uongozi unaousema wewe ulikuwepo na ukashindwa kumuokoa?
Uelewe kanisani siyo mahali watu wanashinda kutwa bila kufanya kazi zao.
 
Nimeleta hii topic nikajuwa nitapata wapinzani ndio maana nikaleta hiyo Topic hivi ni kweli Mtu anauliwa nje ya Eneo la Takatifu la Kanisa na Waumini wanaona anavyouliwa wanashindwa hata kumuokowa? hivyo ndivyo Alivyofundisha Bwana wetu Yesu Kristo?Binadamu anauliwa na watu wabaya nyie Waumini mnaangalia kwa Macho pasipo kumuokowa? na Uongozi wa kanisa unaangalia tu waumini na Wachungaji? Inasikitisha sana hata akiwa ametenda kosa sio haki auliwe kuna Seriakali na wanaohusika kama Polisi na Mahakama ndio wanayo haki ya kumchukulia hatuwa Sio Rai wa nchi hivyo tutaendelea jamani? inasikitisha sana.MIAFRIKA BWANA HIVYO NDIVYO ILIVYO.

Tatizo hujaeleza mauaji hayo yalitokea lini wa hujaeleza kama kulikua na watu hapo kanisani au la, kwa hiyo huwezi ku conclude kwamba watu wa kanisa hwakumsaidia.

Kinachonisikitisha na kunishangaza zaidi ni kwanini hawa wauaji wa mzee Rajabu waliamua kumuulia huyu mwizi karibu na eneo la kanisa? Of all the places that were available kufanyia mauaji yao wakaona Kanisa ndo mahali muafaka kufanyia mauaji? Licha ya kutokuthamini uhai wa maisha ya binadamu Walishindwa angalau kuonyesha heshima kwa nyumba ya Mungu kwa kumsogeza mwizi huyo mbali na eneo la kanisa? Inashangaza na kusikitisha sana..


 
Sasa kama kauwawa eneo la kanisa ndio imekuwa nongwa, kanisa limehusiana vp na mauaji haya? Watu wengine bila kubishana kuhusu dini hamuoni raha.
 
Ndugu wapi inaonyesha kuwa wakati anauliwa huo uongozi unaousema wewe ulikuwepo na ukashindwa kumuokoa?
Uelewe kanisani siyo mahali watu wanashinda kutwa bila kufanya kazi zao.

Jamaa anafikiri kanisani ni sawa na misikitini ambako watu wanashinda wakipiga soga tu bila kufanyakazi.
 
Back
Top Bottom