Australian Prime Minister does it again!!

Police register case of sexual abuse against a Taliban commander

http://www.rawa.org/molest.htm

Revolutionary Association of the Women of Afghanistan (RAWA)
NNI,
September 20, 2000

ISLAMABAD (NNI): A Taliban Commander Tuesday accused Pakistani police of abducting and snatching one hundred thousand Pakistani rupees from him in Islamabad.

Commander Sirajuddin, who was to fly to Germany for treatment, claimed that five people kidnapped him with the help of two Pakistani policemen from a posh locality the Pakistani capital where he was staying in a Taliban guest house.

The police, however, have a different story. They say Mullah Sirajuddin tried to sexually abuse a 10-year-boy in sector F-10 of Islamabad but the people foiled the attempt after the child raised hue and cry.

According to a police statement issued on Tuesday, one Wasim Malik reported to the police that an Afghan commander had tried to molest his ten-year old son Maaz Malik. The police registered a case against the Taliban commander of sexually assaulting the boy under Islamic law of the land.

"This is a totally baseless story, masterminded by the police to cover their crime," Sirajuddin told NNI. He said the two policemen had seen his money in a bag he was carrying as he went to a mosque to say the evening prayer.

The commander said he also had US$15,000 for treatment but he kept the dollars at the Taliban guesthouse before going for prayers and only took the Pakistani rupees. "The police have concocted a false story to conceal their crime," Sirajuddin alleged.

The Taliban commander complained the Afghan Embassy had refused to get his passport released from Islamabad's Golra police station. He also demanded return of Rs. 100,000 he says the police took.

Afghan embassy had Monday asked the government of Pakistan to investigate into the ‘kidnapping' of a Taliban official, who was abducted by unknown people last night and was released in a posh locality in Islamabad.

Sirajuddin, a Taliban commander from Kandahar in Afghanistan, who came to Islamabad to proceed abroad for treatment of his left hand, injured in fighting, was overpowered by the kidnappers and taken to unknown place, according to the Afghan embassy statement. The case was immediately reported to the Emergency Police, Islamabad and the relevant security authorities of Pakistan.






Taliban commander accused of trying to molest 10-year-old boy

Irna
September 18, 2000


Islamabad, September 18, IRNA -- A controvery developed between Taliban embassy in Islamabad and the local police on Monday when the two sides made conflicting claims about the abduction attempt on a militia commander. Taliban regretted that their commander, Mulla Sirajuddin was kidnapped 'but then released' by unidentified men, from near their guest house in Islamabad on Sunday evening. However, the press quoted Islamabad police as saying that a Pakistani national had lodged a report that the commander had tried to molest his 10-year old son. Senior Superintendent of Police, Nasir Khan Durrani said: "a complaint against an Afghan commander for trying to molest a teenaged boy has been lodged with the police." The police said the kidnapping incident was a story concocted by the "Afghan guest." Taliban embassy issued a press release, demanding for an investigation into the kidnapping. An embassy spokesman said the Pakistan Foreign Office has also been contacted and asked to help in arrest of the culprits.
 
Labda hii itasaidia kidogo.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=0d2UMwKp2Qw[/ame]
 
Angewauliza Mecca kuna Kanisa? na jibu lingekuwa hapana then Rome kuna Msikiti jibu ni ndio! then angeuliza Mecca au Madina wanaruhusiwa ku-practice other religion like Christianity or Hindu? jibu ni NO! Then angewaambia wakalale! I am tired of this extrimism all over the world now we have so much to do!
 
Fundamentalist zote mbaya.

Huwezi kukemea fundamentalism ya Waziri Mkuu wa Australia ili u endorse fundamentalism ya waislam. Ingekuwa waislam ni watu poa, wanaoadapt na mazingira ya host countries, wasio na makuu ya kutaka kuwabadilisha watu na nchi zao, then ningemuona Waziri Mkuu huyu hafai.

Lakini sasa hivi namuona anatetea way of life ya Australians tu.
 
Hizi ndizo zinazoitwa Values katika nchi za dunia ya kwanza za kuangalia pembeni wakati mapadri wanafanya ufirauni wao. Dini pia inaingia kwenye values za nchi ya dunia ya kwanza na hatuwezi kamwe kujadili "Values" bila kuingiza dini.

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

With files from The Associated Press


Mbona values za dunia ya pili huzizungumzii, kuoa vitoto vya miaka 9, honor killings, women abuse, kuwafungia ndani wasitoke, kuwanyima access to education, 72 virgins doctrines, hudna, kutahiri wanawake n.k are these the values you are defending?

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=Bru-a_fbRns[/ame]
 
Mbona values za dunia ya pili huzizungumzii, kuoa vitoto vya miaka 9, honor killings, women abuse, kuwafungia ndani wasitoke, kuwanyima access to education, 72 virgins doctrines, hudna, are these the values you are defending?
[/SIZE]


Right,

Unaona nimeweka juu hapo Ma Mullah wa taliban wanavyowafanyia wanawake na watoto wa Pakistan/ Afghanistan?
 
Bravo Australian Prime Minister.

If you want to migrate to a foreign country you have to adapt to live like them.
Why do these people want to impose their way of life to others, who told them that the rest of civilised humanity is interested to live like them? Ebooo!!!!
Kama wewe ulivyo -adapt kusali na viongozi mashoga???

Huyu mwehu hana lolote anatafuta umaarufu wa muda mfupi

Waislamu watakuwepo, tuna-immigrate some necessity na lazima tupate full justuce ya practice religion...

Duniani yote ni mungu na waja wake ni binadamu...huyu PM hana lolote wala hawezi kuwafanya kitu enyi waislamu wa huko...mpeleke mahakamani wtf.
 
Kama wewe ulivyo -adapt kusali na viongozi mashoga???

Huyu mwehu hana lolote anatafuta umaarufu wa muda mfupi

Waislamu watakuwepo, tuna-immigrate some necessity na lazima tupate full justuce ya practice religion...

Duniani yote ni mungu na waja wake ni binadamu...huyu PM hana lolote wala hawezi kuwafanya kitu enyi waislamu wa huko...mpeleke mahakamani wtf.

Hili li PM lina akili sana.

Ingelibidi kila Muislaam awe anaweka sahihi wakati anaomba VIZA kama anakubali kukaa nchi moja na SHOGA na hata mbughudhi. Je anakubali kuishi na Walevi, Malaya ambao hawatajali yeye anaabudu nini ila na yeye asijali wanaishi vipi. Akikubali basi apewe VIZA. AKikataa arudi kwao huko huko Madongo kwinama alikotoka.

Si mkimbilie Somalia kwenye Islaam safi kabisa?

Yemen nako MILANGO iko wazi. Lakini na kukataliwa, bado mtakaa kwenye kile kikambi cha Ufaransa hadi mnafukuzwa kama Mbwa. Kesho bado mnarudi. Wamoroko wanabebana kwenye vitairi vya gari kuvuka kuja Spain kwa Mashoga. Leo unayaita MASHOGA. Inavyoonekana, mashoga haya yana akili sana. Tena Australia ilikuwa ni VIBAKA walioshindikana UK wanapelekwa huko. Kenge na Mamba wanakimbilia huko na wengine wakifika tu wanaanza kusema "sisi hatutaki kuishi na Mamba maana sisi ni Kenge". GO BACK.
 
Mbona values za dunia ya pili huzizungumzii, kuoa vitoto vya miaka 9, honor killings, women abuse, kuwafungia ndani wasitoke, kuwanyima access to education, 72 virgins doctrines, hudna, are these the values you are defending?
[/SIZE]

Ongeza na BOKA HARAM.
 
Hili li PM lina akili sana.

Ingelibidi kila Muislaam awe anaweka sahihi wakati anaomba VIZA kama anakubali kukaa nchi moja na SHOGA na hata mbughudhi. Je anakubali kuishi na Walevi, Malaya ambao hawatajali yeye anaabudu nini ila na yeye asijali wanaishi vipi. Akikubali basi apewe VIZA. AKikataa arudi kwao huko huko Madongo kwinama alikotoka.

Si mkimbilie Somalia kwenye Islaam safi kabisa?

Yemen nako MILANGO iko wazi. Lakini na kukataliwa, bado mtakaa kwenye kile kikambi cha Ufaransa hadi mnafukuzwa kama Mbwa. Kesho bado mnarudi. Wamoroko wanabebana kwenye vitairi vya gari kuvuka kuja Spain kwa Mashoga. Leo unayaita MASHOGA. Inavyoonekana, mashoga haya yana akili sana. Tena Australia ilikuwa ni VIBAKA walioshindikana UK wanapelekwa huko. Kenge na Mamba wanakimbilia huko na wengine wakifika tu wanaanza kusema "sisi hatutaki kuishi na Mamba maana sisi ni Kenge". GO BACK.
Mshauri basi wewe nguruwe ajaribu kufanya hivyo...Li-PM lijinga tu hili halina uwezo wa kutufanya kitu chochote..Australia tutaenda..na kuishi na misikiti itajengwa tutasali sala tano mpuuzi tu huyu..ala

Lazima wafundishwe ustaarabu siyo wanakaa kama nguruwe tabia chafu...na lazima waambie ili wasikie ila hawalazimishwa kufuata..kusikia ni wajibu wetu kuwaambia wakiamua kupotea watajiju...

PM cannot resisit Islam and muslims wanatuhitaji sana...kuliko tunavyowahitaji..nyooo
 
Hili la kuachiwa mapadri walawiti katika nchi mbali mbali za dunia ya kwanza bila kuchukuliwa hatua zozote za kisheria zimeathiri sana mahudhurio katika makanisa mbali mbali ya nchi hizo baada ya waumini wengi kukasirishwa na vitendo hivyo vya kifirauni vinavyofanywa na watu wanaojiita "watumishi wa Mungu"

Hapo tu mzee ndo unapoonekana smart christian kuliko yudA ama PETRO wale wafuasi wa Mwana wa Yusuph kizazi cha Daudi! (Yesu Mnazareti). LAkini tumesahau hzi dini tunazozishadadia sasa zililetwa na hao hao ambao leo wanaonekana wapinda mambo na kwenda kinyume. It is suprising nilikuwa kwamba hata hiyo dini ya "kishetani" ambayo inapigwa vita na madhehebu mengi yenye mlengo wa kirumi imekuwepo tokea miaka ya 60. nA kinachostaajabisha ni kwa jinsi gani imeweza ku savaivu ki hivyo.

Na haka ka habari kanaonekana ka longtime kama miaka miwili au mitatu nyuma, labda tukipata chanzo lakini 2006 ilikuwa debate kali kuhusu suala hili la "muslims" Australia:
Muslims who want to live under Islamic Sharia law were told on Wednesday to get out of Australia
February 20th, 2006
Muslims who want to live under Islamic Sharia law were told on Wednesday to get out of Australia, as the government targeted radicals in a bid to head off potential terror attacks. The same should be done in the United States.
A day after a group of mainstream Muslim leaders pledged loyalty to Australia at a special meeting with Prime Minister John Howard, he and his ministers made it clear that extremists would face a crackdown. On the other hand President Bush hires security people from the UAE (United Arab Emirates of all places) to "secure" our nations ports.
It's nice to know that at least one democracy in the world can appreciate the separation of church and state. Treasurer Peter Costello hinted that some radical clerics could be asked to leave the country if they did not accept that Australia was a secular state and its laws were made by parliament. "If those are not your values, if you want a country which has Sharia law or a theocratic state, then Australia is not for you," he said on national television. "I'd be saying to clerics who are teaching that there are two laws governing people in Australia, one the Australian law and another the Islamic law, that this is false.
If you can't agree with parliamentary law, independent courts, democracy, and would prefer Sharia law, and have the opportunity to go to another country which practices it, perhaps, then, that's a better option," Costello said.
Asked whether he meant radical clerics would be forced to leave, he said those with dual citizenship could possibly be asked move to the other country. Education Minister Brendan Nelson later told reporters that Muslims who did not want to accept local values should "clear off". "Basically, people who don't want to be Australians, and they don't want to live by Australian values and understand them, well then they can basically clear off," he said.
Separately, Howard angered some Australian Muslims on Wednesday by saying he supported spies monitoring the nation's mosques. This is Leadership with guts! While in the United States, recently Al Gore (presidential candidate for those who don't know) was stopped at the airport for a random security check!! If the problem is clearly a "clash of cultures" why does the current administration continue to use THE PATRIOT ACT as a cheap excuse to break American law, in the name of 9/11 and defending terrorism, if the enemy is defending our ports?
http://www.snopes.com/politics/religion/australia.asp

http://hubpages.com/hub/AUSTRALIAN-PRIME-MINISTER-TELL-MUSLIMSTAKE-IT-OR-LEAVE

 
Kama mnasema nchi za West hazina values kwa nini uzifuate? Why in the world would you go to a place where you think there are no values? What does that say about your own values? That you are ready to give up on what you believe just for the chance to live in another country? Mr. Prime Minister is right. He called it as it is.

Mwanafalsafa hizo the so called values zina kasoro matundu kibao na kuishi katika nchi za magharibi hakumzuii mzawa wala muhamiaji kuzikosoa the so called values, kumbuka kuna kitu kinaitwa freedom of speech kama mzawa anaweza kukosoa values zilizopomuhamiaji pia aliyefuata sheria zote kuhamia nchi husika ana haki sawa na mzawa kuzikemea
values zilizojaa unafiki wa hali ya juu. Pia usiniwekee maneno mdomoni mwangu maana sijaandika popote kwamba hakuna values katika nchi za magharibi


Kuhamia katika nchi husika kama muhamiaji hukupewa masharti yoyote kwamba kama muhamiaji huna haki ya freedom of speech au hutakiwi kukosoa chochote kile ambacho
kina kasoro kama ambavyo wewe unataka kufanya eti kwa kuwa wahamiaji wameamua kuishi katika nchi za magharibi basi hawana haki ya kukosoa the so called "values" zilizojaa matobo chungu nzima.


Labda uvumbue nchi yako ukaribishe wahamiaji na kisha uwape masharti wale wote watakaohamia katika nchi yako hawana haki ya kukosoa chochote kile katika nchi yako, lakini katika nchi husika hawajaweka masharti kama hayo wala sijui kama watakuja kuyaweka.


Pamoja na uzuri wa free speech na mazuri mengine pia kuna upupu kibao ambao hata wazawa wa nchi za magharibi wanaupigia kelele kila kukicha

Nitakupa mifano ifuatayo. Kumbuka ile kasheshe ya Bill Clinton na Monika Lewinsky. Republicans walitaka kumimpeach Bill Clinton kufuatia kasheshe ile. Bahati nzuri opinion polls zilionyesha asilimia kubwa ya Wamarekani hawakutaka awe impeached na hili likawapa nguvu masenata wa Democratic kupinga imeachment ile. Kasheshe ya Clinton haikuua hata Mmarekani mmoja wala haikugharimu Serikali gharama yoyote zaidi ya aibu kwa familia, ya Bill, wafuasi wake, chama chake na Wamarekani. Akaingia Kichaka na kulidanganya Taifa lake na dunia kwamba Saddam ana WMD na walizijua ziko wapi.

Penye ukweli siku zote uwongo hujificha, na baada ya muda ikajulikana kwamba Kichaka alisema uwongo na kuliingiza Taifa kwenye vita ambayo hadi sasa (miaka minane na upuuzi) imegharimu karibu $1 trillion. Wale wale Republicans wakawa wa kwanza kupinga Kichaka awe impeached kwa kulidanganya Taifa na kusababisha vita ambavyo havikustahili.

Hiyo pesa karibu na $1 Trillioni ingekuwa invested kwenye mambo mbali mbali labda matatizo ya kiuchumi ya Marekani labda yasingekuwepo kabisa au yasingekuwa makubwa kama yalivyo sasa. Ulitegemea hapa "rule of law" ifanye kazi na Kichaka kufunguliwa mashtaka kwa kulidanganya Taifa na Ulimwengu na kusababisha vifo vya Wamarekani zaidi ya 5,000 na Wairaq zaidi ya laki moja lakini haikuwa hivyo. The so called "values" katika kuhakikisha rule of law hazikufanya kazi kama ambavyo ilivyokusudiwa.

Kwa hiyo mkitaka kuziangalia the so called values za nchi za magharibi juu juu, hamtaona madudu kibao yaliyomo katika values hizo maana "Mizungu sivyo ilivyo" lakini ikija kwenye kuangalia nchi za bara letu la Africa na kwingineko tunakuwa wepesi sana kuja na kauli za "Miafrika ndivyo ilivyo" lakini wakati huo huo tunayafumbia macho madudu chungu nzima katika nchi za magharibi zinazosemekana zina "perfect values".

Kama "rule of law" haifuatwi ili kuhakikisha hakuna mkosaji yoyote yule ambayo ni above the law basi the so called values zina kasoro maana sheria za nchi zinapindishwa ili kuwakingia kifua baadhi ya wakosaji na wakati huo huo wakosaji wengine wa kosa lile lile lakini ambao hawana wa kuwakingia kifua wanaadhibiwa kwa kufuata sheria zilizopo.
 
Mshauri basi wewe nguruwe ajaribu kufanya hivyo...Li-PM lijinga tu hili halina uwezo wa kutufanya kitu chochote..Australia tutaenda..na kuishi na misikiti itajengwa tutasali sala tano mpuuzi tu huyu..ala

Lazima wafundishwe ustaarabu siyo wanakaa kama nguruwe tabia chafu...na lazima waambie ili wasikie ila hawalazimishwa kufuata..kusikia ni wajibu wetu kuwaambia wakiamua kupotea watajiju...

PM cannot resisit Islam and muslims wanatuhitaji sana...kuliko tunavyowahitaji..nyooo

Halafu muwaletee mila za KIBABU miaka 60 kinaowa mtoto aliyeko tumboni bado. Akizaliwa tu wa kike, kimepata mke. Kitoto cha kike kikifisha miaka 10 kinapelekwa kwa mumewe, "Subhana wataala".
Kama hiyo haitoshi, muanze na kuwapigia makelele USIKU wa manane kuwaamsha MASHOGA, lohhhh!!!! Na ukifika mwezi wa Ramadhan basi MARUFUKU kufungua hotel. Mwisho mtakuja na kuwaambia "ni marufuku wao kuwa Wazungu" kama Darfur mnavyowaambia wale jamaa walioibeba Africa kwa weusi eti wao ni WAARABU hihiiiiiii :)

Wee Tumaini nenda nu kwa Waarabu wako ukatembeze U-Angican maadamu umeshasema wao ndiyo WANAUME KWELI.

Huyu Nguruwe mbona wamchukukia saana. Alikufanya nini? Hicho kipua cha nguruwe naona kuna jambo. Hebu lete sababu moja kwa nini HUMPENDI KIUMBE ALIYEUMBWA NA MUNGU??

Mu-Angican aliye KIBUDU wa fikra, Tumaini weee!!!!!!
 
Mwanafalsafa hizo the so called values zina kasoro matundu kibao na kuishi katika nchi za magharibi hakumzuii mzawa wala muhamiaji kuzikosoa the so called values, kumbuka kuna kitu kinaitwa freedom of speech kama mzawa anaweza kukosoa values zilizopomuhamiaji pia aliyefuata sheria zote kuhamia nchi husika ana haki sawa na mzawa kuzikemea
values zilizojaa unafiki wa hali ya juu. Pia usiniwekee maneno mdomoni mwangu maana sijaandika popote kwamba hakuna values katika nchi za magharibi

Kuhamia katika nchi husika kama muhamiaji hukupewa masharti yoyote kwamba kama muhamiaji huna haki ya freedom of speech au hutakiwi kukosoa chochote kile ambacho
kina kasoro kama ambavyo wewe unataka kufanya eti kwa kuwa wahamiaji wameamua kuishi katika nchi za magharibi basi hawana haki ya kukosoa the so called "values" zilizojaa matobo chungu nzima.

Labda uvumbue nchi yako ukaribishe wahamiaji na kisha uwape masharti wale wote watakaohamia katika nchi yako hawana haki ya kukosoa chochote kile katika nchi yako, lakini katika nchi husika hawajaweka masharti kama hayo wala sijui kama watakuja kuyaweka.


Pamoja na uzuri wa free speech na mazuri mengine pia kuna upupu kibao ambao hata wazawa wa nchi za magharibi wanaupigia kelele kila kukicha

Nitakupa mifano ifuatayo. Kumbuka ile kasheshe ya Bill Clinton na Monika Lewinsky. Republicans walitaka kumimpeach Bill Clinton kufuatia kasheshe ile. Bahati nzuri opinion polls zilionyesha asilimia kubwa ya Wamarekani hawakutaka awe impeached na hili likawapa nguvu masenata wa Democratic kupinga imeachment ile. Kasheshe ya Clinton haikuua hata Mmarekani mmoja wala haikugharimu Serikali gharama yoyote zaidi ya aibu kwa familia, ya Bill, wafuasi wake, chama chake na Wamarekani. Akaingia Kichaka na kulidanganya Taifa lake na dunia kwamba Saddam ana WMD na walizijua ziko wapi.

Penye ukweli siku zote uwongo hujificha, na baada ya muda ikajulikana kwamba Kichaka alisema uwongo na kuliingiza Taifa kwenye vita ambayo hadi sasa (miaka minane na upuuzi) imegharimu karibu $1 trillion. Wale wale Republicans wakawa wa kwanza kupinga Kichaka awe impeached kwa kulidanganya Taifa na kusababisha vita ambavyo havikustahili.

Hiyo pesa karibu na $1 Trillioni ingekuwa invested kwenye mambo mbali mbali labda matatizo ya kiuchumi ya Marekani labda yasingekuwepo kabisa au yasingekuwa makubwa kama yalivyo sasa. Ulitegemea hapa "rule of law" ifanye kazi na Kichaka kufunguliwa mashtaka kwa kulidanganya Taifa na Ulimwengu na kusababisha vifo vya Wamarekani zaidi ya 5,000 na Wairaq zaidi ya laki moja lakini haikuwa hivyo. The so called "values" katika kuhakikisha rule of law hazikufanya kazi kama ambavyo ilivyokusudiwa.

Kwa hiyo mkitaka kuziangalia the so called values za nchi za magharibi juu juu, hamtaona madudu kibao yaliyomo katika values hizo maana "Mizungu sivyo ilivyo" lakini ikija kwenye kuangalia nchi za bara letu la Africa na kwingineko tunakuwa wepesi sana kuja na kauli za "Miafrika ndivyo ilivyo" lakini wakati huo huo tunayafumbia macho madudu chungu nzima katika nchi za magharibi zinazosemekana zina "perfect values".

Kama "rule of law" haifuatwi ili kuhakikisha hakuna mkosaji yoyote yule ambayo ni above the law basi the so called values zina kasoro maana sheria za nchi zinapindishwa ili kuwakingia kifua baadhi ya wakosaji na wakati huo huo wakosaji wengine wa kosa lile lile lakini ambao hawana wa kuwakingia kifua wanaadhibiwa kwa kufuata sheria zilizopo.


Mzee naona hapa ulikasirika sana acha ushushe verse. By the way happy new year.
icon10.gif
icon10.gif
 
This should be a world wide rule. If you want to move to any country and become part of that country...WELCOME, But if want to change anything in that new country you wish to live in ...GOODBYE

It took a lot of courage for this man to speak what he had to say for the world to hear. The retribution could be phenomenal, but at least he was willing to take a stand on his and Austrilia's beliefs. Yes, allow those that want to come, to come. But understand that if you want to go to a country not of your birth, you should expect to live by their rules and respect their ways of life. This doesn't mean you have to give up yours. I think he explains it very well.



Whole world Needs A Leader Like This!


Muslims who want to live under Islamic Sharia law were told on Wednesday to get out of Australia , as the government targeted radicals in a bid to head off potential terror attacks..


Separately, Rudd angered some Australian Muslims on Wednesday by saying he supported spy agencies monitoring the nation's mosques.

Quote:

'IMMIGRANTS, NOT AUSTRALIANS, MUST ADAPT. Take It Or Leave It. I am tired of this nation worrying about whether we are offending some individual or their culture. Since the terrorist attacks on Bali , we have experienced a surge in patriotism by the majority of Australians.. '

'This culture has been developed over two centuries of struggles, trials and victories by millions of men and women who have sought freedom'

'We speak mainly ENGLISH, not Spanish, Lebanese, Arabic, Chinese, Japanese, Russian, or any other language. Therefore, if you wish to become part of our society . Learn the language!'

'Most Australians believe in God. This is not some Christian, right wing, political push, but a fact, because Christian men and women, on Christian principles, founded this nation, and this is clearly documented. It is certainly appropriate to display it on the walls of our schools. If God offends you, then I suggest you consider another part of the world as your new home, because God is part of our culture.'

'We will accept your beliefs, and will not question why. All we ask is that you accept ours, and live in harmony and peaceful enjoyment with us..'

'This is OUR COUNTRY, OUR LAND, and OUR LIFESTYLE, and we will allow you every opportunity to enjoy all this. But once you are done complaining, whining, and griping about Our Flag, Our Pledge, Our Christian beliefs, or Our Way of Life, I highly encourage you take advantage of one other great Australian freedom, 'THE RIGHT TO LEAVE'.'


'If you aren't happy here then LEAVE. We didn't force you to come here. You asked to be here. So accept the country YOU accepted.'

Kama kweli amesema hivi !!!

Ni kutapatapa huku kwa maana Uislamu una-pose threat ya vijana wao wengi na wasomi na hata wazee wanavyoingia katika uislamu siku hizi. Sio kwa mabomu, upanga wala vitisho bali kwa hoja zilizomo ndani ya Qur-ani na authentic sources za habari za Mtume Muhammad (SAW).

Kwa mfano ajibiwe kwamba:
1. Nchi za hao waislamu mmezivamia kijeshi, hakukaliki

2. Ni wao ndio wanaolazimisha na ku-impose mitindo yao ya kuendesha nchi (demokrasi) huku wakiwaua watu bila hatia kwa pretext za UONGO MTUPU. Wakiwaua waislamu 1000 husema wameua "magaidi wachache tu wasiozidi kumi" Mfano: Kuna habari moja juzi ilitangaza kwamba kuna "wajane wa vita" war widows nchini Iraq kiasi cha 2.2mil. ambapo kichwa cha habari hiyo kilisema "wajane hao wanakiuka traditions katika kupata waume" yaani matumizi ya "match makers" kuwa yameshamiri badala ya traditions za kupitia kwa wazazi, ndugu na jamaa. Wakiulizwa wao idadi ya waliowaua husema kiasi cha labda 20,000 to 30,0000. Sasa, hata kama wanaume walioliwa walikuwa wameoa wake wanne wanne kama uislamu unavyoruhusu, wanamdanganya nani kusema 30,000 wameacha wajane 2.2mil???????

3. Ni wao ndio wanalazimisha nchi za kiislamu kutawaliwa na ma-puppets wanaowafanyia their dirty work na kuwalindia wanazoita "interest" zao dhidi ya waislamu. Wana majeshi wengi huko hata kuliko nchini kwao katika kuhakikisha wanawalinda MAFISADI wao katika kuhakikisha kwamba katu waislmau hawainuki na ku-reestablish SHARIAH LAW katika nchi zao. Na pindi wanapoinuka waislamu na kutwaa nchi zao na kuanzisha SHARIAH basi wataanza propaganda za uongo, zisipofanya kazi watawatenga kimataifa na kuwawekea vikwazo visipofanya kazi watatengeneza uhalifu na kuwa-implicate waislamu kisha hupata sababu ya kuzivamia kijeshi nchi za waislamu na kufanya wayatakayo. Afghanistan, Iraq, Somali (Council of Islamic Court) ni mifano hai ya ufisadi wao.

4. Kwa taarifa tu hakuna hata muislamu mmoja anaelazimisha SHARIAH Australia, ni uongo mtupu, itafanya kazi vipi??? waislamu ni kidogo mno, hawana power wala mamlaka yeyote, wao wenyewe wanaishi kwa baadhi ya nyakati kwa woga woga kutokana na stigma and prejudices ambazo media outlets huchangia kueneza dhidi ya waislamu hasa wakati wa matukio mbali mbali yanapotokea ulimwenguni, itakuwaje? UONGO kwamba waislamu hawa iwe bughdha of any concern, frankly speaking. Wanachofanya tu waislamu wenye kuifahamu dini yao na wenye iimaani ya dini yao, na wala sio waislamu wote, (maana wapo waislamu wengi waliojisahau na kufikiri wamefika peponi huko katika nchi za magharibi) ni kushikamana na mafundisho ya dini yao na kwa mfano "Sio tu kutokuwahi kutumia pombe hata siku moja maishani, kuwa mbali na mambo ya kamari, nk, nk bali kuweza kuweza kuwa na hoja kiislamu na kisayansi juu ya sababu za kuharamishwa kwao vitu hivyo, na kutokana na mambo hayo kuwa tayari yameshachafua jamii zao ni kitu ambacho baadhi yao kinawapa athari kubwa na reflection ya uislamu" ndipo waAustralia wenyewe hasa wale waliokata tamaa na "detereoration ya western social values" huvutiwa na uislamu hata dhidi ya kila kampeni potofu dhidi ya uislamu. Wanapousoma habari zake kutoka katika source sahihi hutosheka nazo na ku-embrace islam.

Sasa kinachotokea ni wimbi kubwa la Wa-Australia kama zilivyo nchi nyengine nyingi za Kimagharibi, watu wengi wanaingia katika uislamu. Hata kwa mfano dhidi ya propaganda za uongo na upotoshaji dhidi ya uislamu kuhusiana na haki za wanawake, wanashangaa kwamba idadi kubwa ya wanaosilimu ni wanawake. Wasomi na vijana mpaka mashuleni wanaingia katika uislamu na kuwa transformed. Ni trend ya namna hii ndio inayoweza kupelekea waAustralia wenyewe kutaka ku-apply SHARIAH katika nchi yao hapo baadae. Hii ndio threat ambayo action must be taken against. Hakuna muislamu anaelazimisha au hata kuwa na ndoto hiyo, bali katika nchi zao, Yes, wanayo haki hiyo, au hawana???Afghanistan, Iraq, Misri, Somali, Algeria, na kokote ambapo waislamu ni majority na ufisadi unaenea, basi Yes SHARIAH is GOD given, an Alternative and definitely a Viable option, otherwise it is against human rights.

Kujidai kwamba eti "WANAOTAKA KUISHI CHINI YA SHARIAH LAW" waondoke is scandalous. Ni kujaribu ku-play mind games, brainwashing. Kwa maana ni kujaribu kutumia kikwazo ili kuwatenga na kuwagonganisha kwanza kabisa waislamu werevu/waumini dhidi ya waislamu wajinga. Yaani wenye kuelewa akeeda ya uislamu dhidi ya waislamu majina. Ambapo wataulizwa waislamu THEORETICALLY waseme nini preference yao baina ya kuishi chini ya SHARIA LAW na SECULAR LAW ambapo unajua fika majijibu lake kwa werevu/waumini ni: SHARIAH LAW kwasababu hii ni sehemu ya imani na itikadi yake, hivyo inamuwajibikia kuwa na constant dream ya kuishi under SHARIAH LAW. Sasa kwakuwa HAPA hakuna na wala hakutakuwa na majadiliano wala ufafanuzi wa vipi waislamu wanatakiwa wafikie lengo lile la kuishi chini ya SHARIAH LAW, ndipo pale watapojidai maadui wa uislamu ku-take advantage na ku-exploit people minds, eti waislamu hawa ni fundamentalist, hawa terrorists, hawafai, waondoke. Hapo hapo wanategemea mtaji mwengine kutoka kwa waislamu majina tu ambao hawaelewi "aqeeda" na bila shaka majibu yao yatakuwa ya kijingajinga vile vile kama fikra zao zilivyo, mfano "I don't care" "Secular law kwasababu zao mbali mbali kwa mujibu wa ujinga wao" Ni ujinga/ukosefu wa elimu na ufahamu kwa muislamu ku-prefer, ku-prefer, ku-prefer, yaani preference, yaani option if one available sheria isiyokuwa SHARIAH ya ALLAH (SW). On How to get there, it is a lie, exploitation and brainwashing to suggest that it is only achieved by force, as they try to say by terrorist means, stinking lies.
 
Back
Top Bottom