SIMBA WA TARANGA
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 987
- 220
Mbona hata bongo wapo? Subiri kidogo nipost picha
Ni disposable au ndo wakimaliza wanakiweka kwenye pochi?!!
Bila shaka huyo atakuwa aliiba kuku akamficha white house, sasa jamaa akamshtukia. Duuh yani huyo kuku angekuwa mtamu sana kama huyo dada angefanikiwa kutoka naye maana kwa joto la injini angeivia njiani pamoja na chumvi ya asili isiyo na madhara nyumbani ni viungo tu.
Picha kama hizi Mbuzi Mzee uwe unaweka tahadhari,Wengine tuna aleji nazo,sasa tazama machozi yamenitoka ofisini nikifikiria lunch niliyotoka kuipata na mtoto ambaye ni malaika wa mungu na mtanzania mwenzangu anaishi katika hali hii....................