Aunt Sadaka Gandhi

Napata picha mnaompinga Mwita ni wateja wa huyo mama Sadaka Gandhi........... Si bure...... Mwita si mtu wa kwanza kuleta mada ya kutaka kufahamu CV ya mtu kwa sababu ya kazi zake za kiutatanishi. Mbona last week km sikosei kuna mada ulikua inamhusu Dr. Masaburi, je daktari wa binadamu au PhD iwe ya udakatari au fani nyingine.... Mbona hamkujibu mnayoyajibu hapa? Kwa sababu huyu mama nyie ni wagonjwa wake au? Anaweza kuwa anataka waokoa msije kufa bure/ au matatizo yenu zidi.......

Mwisho wa siku mwenye data za huyu mama azianike (CV namaanisha).
 
Mmeomba ile kazi mkanyimwa au??mbona mnaleta mambo personal??hamna issue za kujadili??nendeni Clouds mkaonyeshe kuwa nyie mnaweza zaidi huyo dada ili mpatiwe nyie....pia msisahau mfungue na NGO zenye kutoa ushauri badala kuleta mashambulizi binafsi wala haitwasaidia kabisa....na nawapa taarifa tu ana tender makampuni yoote makubwa unayoyajuaa hapa tz ya kutoa ushauri nasaha na fasaha....pia kutoa huduma ya ushauri kwa appointment ana mikataba mmechelewa sana kama mna wivu na chuki binafsi!!
 
M struggling to understand hw is she a celeb mpka anafunguliwa thread hku! Ukishajua tu kuongea clouds panakufaa!
 
Ukishataja neno Clouds ujue hapo elimu sio kigezo cha kuwepo au kuitwa pale,ukishajua kuongea saaana na ujanja mwiiingi pale ndio sehemu yako,nawashangaa wasomi wanaosikiliza Clouds.
hahaha,,,,,,,,, hii kali!!!!!! ila Mwita25 anahitaji kufahamu ni kivipi huyu mama anatoa mafunzo ya psychology...... je, ni kweli kasomea? maana psychologists wako wachache sana jamani....
 
Mmeomba ile kazi mkanyimwa au??mbona mnaleta mambo personal??hamna issue za kujadili??nendeni Clouds mkaonyeshe kuwa nyie mnaweza zaidi huyo dada ili mpatiwe nyie....pia msisahau mfungue na NGO zenye kutoa ushauri badala kuleta mashambulizi binafsi wala haitwasaidia kabisa....na nawapa taarifa tu ana tender makampuni yoote makubwa unayoyajuaa hapa tz ya kutoa ushauri nasaha na fasaha....pia kutoa huduma ya ushauri kwa appointment ana mikataba mmechelewa sana kama mna wivu na chuki binafsi!!


mh,huo upersonal alouliza mwita25 mi sijauona,mtu anatoa huduma fulani kwa watu mamilioni kupitia radio kwanini mtu asipende kujua details zake? si ndio hayo uloeleza na mengine mengi mwita25 anayohitaji kujua,kujulishwa na watu kama nyie wenya data zake, ili kama ana wasiwasi nae upungue au kwisha kabisa!!!!!!
na mwingine anakuja na lingine mambo yanakaa sawasawa ila we umeweka negativity kubwa juu ya muuliza swali kwani wewe ulimjuaje kama sio ulihabarishwa na vyanzo vingine.watu mmekaa kisharishari tu bila sababu.
 
Yupi kati ya hawa ni mwanajamii bora. Mwenye elimu kubwa lakini haitumii na mwenye elimu kidogo na akawapatia na wenzie? Wanaoitwa wasomi wa bongo, wengi wao ni vyeti tu, hawana uthubutu wa kufanyia kazi kile wanachokijua. Sadaka endelea bana, Wengi unatupa changamoto kufikiri mambo mengi baada ya uwasilishaji wako. Go on
 
Mmeomba ile kazi mkanyimwa au??mbona mnaleta mambo personal??hamna issue za kujadili??nendeni Clouds mkaonyeshe kuwa nyie mnaweza zaidi huyo dada ili mpatiwe nyie....pia msisahau mfungue na NGO zenye kutoa ushauri badala kuleta mashambulizi binafsi wala haitwasaidia kabisa....na nawapa taarifa tu ana tender makampuni yoote makubwa unayoyajuaa hapa tz ya kutoa ushauri nasaha na fasaha....pia kutoa huduma ya ushauri kwa appointment ana mikataba mmechelewa sana kama mna wivu na chuki binafsi!!
Hahahaa watu bana... unajua hiyo kada (Saikolojia) nimeipitia kidogo, sasa nikimsikiliza huyo madam binafsi natamani niione CV yake
na sio dhambi kwani kama ni kweli kuwa anafanya uliyoyataja she must have a brand of her work or simply a firm, sasa huoni kwa kuweka CV yake utakuwa umemsaidia kwenye "publicity" and off course credibility ya kile anachokifanya. so Mwita yupo sahihi labda anatatizo angependa kumuona ala anataka aone CV yake asije akawa anaongea based on her feelings on the scenerios and not on available case studies earthwise.......
 
Ni mama mmoja mzuri mzuri hivi, kwa mtizamo wa haraka haraka , naona kama hana mume na ame kaa kimjini mjini zaidi , inawezekana ni muuza sura fulani kwa vigogo na labda kwa mayanki pia , haswa ukijumlisha yuko Clouds, pale ni njia ya kutoka kukamata wenye hela , mawazo tuu , sina ushahidi wowote!
 
Nimewasoma wooteee nimegundua kuna baadhi yenu mna uelewa mdogo, ukishakuwa ni mtoa huduma yoyote ile kwa jamii ni lazima jamii ikuelewe kwa undani zaidi ili wawe na imani na kile unachowahumia. Mtoa mada yupo sahihi kabisa, kujua cv yake sio kuingilia mambo yake personal kwa kuwa redio inasikilizwa na wengi.
 
mh mi nakumbuka wakati anachukua masters yake ud
alikuja mahala flani nilipo kuwa kumsaidia baadhi ya vitu.
ilikuwa kama mwaka 2001 au 2002
hivyo tu ndo ninavypmjua
bt alikuwa na clinic (center) kwake pale nyuma ya IST
ni hayo tu
 
Fufua thread:

Huyu mama ni mwanasaikolojia mzuri, anajitahidi sana.
Well, i like her.
 
Huyu mama huwa namsikiaga Clouds na Radio nyingine anaongelea mambo ya saikolojia na ushauri. Lakini baada ya kumsikiliza namuona amepwaya na hana mashiko. Yeyote mwenye taarifa za kutosha kuhusu huyu mama eg elimu, ndoa, uzoefu naomba mziweke hadharani tumchambue.

Huu Uzi ni wa 2011 ..sadaka amezaliwa 1967 ni mama wa mtoto mmoja pekee! Very smart huyu bibie! Mwanae nilisoma nae mahali..anakaa africana ! Labda ahame ..nimemmiss mwita wa enzi zile...Mwalimu...mlevi flani hivi ...libishii ila very funny ...
 
He hebu nenda kwa wale wa mama wa leo tena pale klauz namskiaga mida ya sa 7 wizoo analeta kwere unataka apate kitchen part!!!!????
Hakupata unyago!&
Daah yaani anazingua wewe??? Klauz kwenda kusema ukweri daah .....mm nipo Mwanza !! Ningepata namba zake ingekua poa sanaa nimuendee hewani tu
 
Back
Top Bottom