aunt ezekiel na shilole balaaaa!

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Jan 5, 2010
3,832
630
wakiwa ndani ya kiota kipya mtwara
MAKONDE BEACH CLUB!
Wanenu:poa:poa


eze shilo.JPG eze 1.JPG eze2.JPG



shilo 1.JPG shilo 2.JPG kaaazi kweli kweli!
 
Naona wazi hao hawana ndugu maana kwa kadhia hii lazima ndugu zao wawakatae kwa dhati.
 
Sijaona kipya wala cha ajabu hapo...hiyo ni show ya music...mie nilidhani wanatembea road bila nguo
 
Jamani wanajituma kikazi zaidi!wanakula kwa jasho lao ati!!ubunifu wao ndio utawaweka mjini
 
Mbona kwa upande wa wanaume wametulia ukimtoa Hemedi mzee wa mapoda, wengine wako poa. Ila kwa dada zetu naona hawajui kutunza umaarufu wao.
 
Back
Top Bottom