Aunty Ezekiel atia kinyaa kwa kuvaa nusu uchi Kigali-Rwanda

mwancheni avae apendavyo ,kwani bina adamu alizaliwa na nguo?mbona hamuendi porini kuwaambia watindiga wavae nguo asili ya mwafrika kwanza hawavai nguo nguo zimeletwa na wazungu, anaye leta hoja hapa aseme,wamasai wakipite ile kitu ikienda kushoto kulia mbona hampigi kelele, wape watu uhuru wa kuvaa ,na kama mnauchungu sana mbona kuna watu wako vijijin wanatembea nguo zimechanika na ****** yako wazi hamuende kuwapa nguo,au kungekuwa na mahali kuna nguo za bure zatolewa na kijiji au serikali kama hupendi usimwangalie
 
leo-6.jpg
images
leo-9.jpg
Aunt+Ezekiel.jpg
aunt_ezekiel.jpg
AuntEzekiel4.jpg
AuntEzekiel2.jpg
auntiezekiel2.jpg
2.jpg
 
Yule muigizaji wa kimataifa wa nchini tanzania ambae majuzi akiongozana na baadhi ya waigizaji wa dar ametia kinyaa uwanja wa kigali na kufikia kila mtu kuanza kutukana kinyarwanda
aikuwa rahisi kusikia mnyarwanda akisema aiseee watanzania ni maraya sana aisee embu kumwona kale kabint kweri kamepanda ndege hata siamini kamewezaje kupita uko....

Huku wengine wakisema wanawake wa kitanzania awana aibu wara awajiheshimu wengi waliishia kumfwata na kuangalia mapaja yake huku wakati akikaa sehemu za nguo za ndani kutuna kama if kuna mdudu anataka kutoka.....Kwa wale watanzania mkienda kwa watu embu jiheshimuni jamani
hapa mnaona wanwake wote ndio wanatukanwa sio huyuhuyu tu mnaonekana wote baraya ba kibongo
14476-1.jpg


Huyu dada Johari naona hana skendo za kipumbavu kama hili lingine la kulia....unajua watu kama hawa inapaswa kwenye katiba tuweke kabisa,lidada likikutwa limevaa kama hili likamatwe...pumbavu!!
 
mbona nguo ya kawaida tu hiyo?

Kama ukiona hiyo nguo ni ya kawaida una mambo yafuatayo;
  1. Una matatizo ya akili kidogo,na unahitaji ushauri nasaha..
  2. Na wewe ni kati ya hawa watu na inawezekana unapenda kuvaa mavazi haya ya makahaba na wasagaji....
  3. Ni shetani nusu..ikimaanisha umeanza kufuzu mafunzo ya kishetani ya kutawala dunia kupitia uasi...
 
Wote mnaopinga hicho kivazi mie nawaona MALIMBUKENI. Hamna tatizo lolote hapo isipokua angevaa Mzungu msingesema yote hayo. Acha hewa izunguke kwa mwili kupunguza joto.
 
Back
Top Bottom