Ludanha
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 552
- 645
Hahahahaah! Una maanisha kwamba?Hapo anamaanisha anatoa jicho
Hahahahaah! Una maanisha kwamba?Hapo anamaanisha anatoa jicho
Wanafikili=wanafikiriWanafikili kule ni jalala kila mtu anaenda
Sawa mkuuWanafikili=wanafikiri
We ni mdaku unaunga unga habari kutuletea story humu... mtu akifanya kitu kidogo tu cha kawaida basi tayari kashakuwa illuminatiMtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman", Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni mfuasi wa dini ya kishetani ya illuminati.
View attachment 406150
Wafuasi wengine wa dini hiyo;
View attachment 406151
View attachment 406152
View attachment 406153
View attachment 406154
View attachment 406155
Naona maisha yashaanza kumshinda akaona siyo kweli hawezi kufa na kiu baharini ngoja ajaribu upande wa pili.
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati##siyo mtu##wa mchezo mchezo##
Mbona unafukua nyuzi ya tangu 2016 halafu kwa kucheka tu, una shida gani mekuHa ha ha
Nilikua nasubiria kitimoto hapa Kerege ndo nikaona nibariziiMbona unafukua nyuzi ya tangu 2016 halafu kwa kucheka tu, una shida gani meku
Dahhh!!! Huu mzigo mademu hata wakiwa sita unawapiga wote bila tabu, yaani sevensome!Nilikua nasubiria kitimoto hapa Kerege ndo nikaona nibarizii
Diamond bwana! mademu zake aliowapitia ndio anawaunganishia madansa na wasanii wa lebo yake!
Ili wasiende mbali, sometimes timing ikikaa fresh anapiga la fasta Ata toilet.
Duh si mchzNilikua nasubiria kitimoto hapa Kerege ndo nikaona nibarizii
🤣🤣🤣🤣nimecheka sanaLabda Illuminati wa Sumbawanga.
Hujui kula hiyo nyama ni dhambi?mungu alishakataa.Nilikua nasubiria kitimoto hapa Kerege ndo nikaona nibarizii
Sure. Karibu Sana TZS 2,500 Kilo,
khaaaaah lolLabda Illuminati wa Sumbawanga.