yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Mtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman", Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni mfuasi wa dini ya kishetani ya illuminati.
View attachment 406150
Wafuasi wengine wa dini hiyo;
View attachment 406151
View attachment 406152
View attachment 406153
View attachment 406154
View attachment 406155
Naona maisha yashaanza kumshinda akaona siyo kweli hawezi kufa na kiu baharini ngoja ajaribu upande wa pili.
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati##siyo mtu##wa mchezo mchezo##
Illuminant asiye hata na nyumba ya kusihi???