Habari wa JF
Jamaa moja alipanda daladala,akiwa anaendelea na safari akajihisi kujamba.Ili abiria wasisikie/wasijue akijamba akawa anajamba kwa kufuatisha midundo ya mziki.Wakati anashuka kwenye daladala akaona abiria wote wanamuangalia huku wengine wakiche!Kumbe jamaa alikuwa anasikiliza mziki kupitia headphones za simu yake
Jamaa moja alipanda daladala,akiwa anaendelea na safari akajihisi kujamba.Ili abiria wasisikie/wasijue akijamba akawa anajamba kwa kufuatisha midundo ya mziki.Wakati anashuka kwenye daladala akaona abiria wote wanamuangalia huku wengine wakiche!Kumbe jamaa alikuwa anasikiliza mziki kupitia headphones za simu yake