TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,283
inategemea vigezo gani mkuu, ila kwangu mimi mrema siwezi kumrate highly, namuona msaniisiyo hapo alipo sasa hivi tu mkuu, bali tangu alikotoka na jinsi alivyorudi hapo alipo. Angaza kwa makini kama utampata mwanasiasa mwingine anayefuzu vigezo vya Mrema