muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
- Thread starter
- #41
Mag3,
Asante kwa kuchangia mada na kutoa mawazo yako. Hata hivyo inaonekana tofauti kati ya mawazo yetu na yako iko kwenye uwezo wetu wa kuchambua mambo. Pia inaonekana kazi ya mrema ilikuzuia (wewe au ndugu yako wa karibu) kufanya jambo fulani (pengine la kifisadi) wakati fulani na hivyo ukajenga chuki kiduchu dhidi yake, chuki ambayo inakuweka pazi unashindwa kuona mambo mengine.
Asante kwa kuchangia mada na kutoa mawazo yako. Hata hivyo inaonekana tofauti kati ya mawazo yetu na yako iko kwenye uwezo wetu wa kuchambua mambo. Pia inaonekana kazi ya mrema ilikuzuia (wewe au ndugu yako wa karibu) kufanya jambo fulani (pengine la kifisadi) wakati fulani na hivyo ukajenga chuki kiduchu dhidi yake, chuki ambayo inakuweka pazi unashindwa kuona mambo mengine.